Tetesi: Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara

Status
Not open for further replies.
sasa wamekuacha nin wewe mchonganishi na mvunja amani ya Tanzania, haya maneno hayafai kabisa nchini kwetu tuna amani na utulivu. si ungeenda ukaongee naye na wana ccm wote yaishe acha uchonganishi SIRRO mtu huyu asiachwe, TCRA mtu huyu anavunja utratibu weeetu
 
Huyu Luhavi zake sasa zimefika bora amejulikana mapema pesa zote alizoiba lazima zirudi mahakama ya mafisadi inamsubiri lazima asurubiwe.
 
Huyu Luhavi zake sasa zimefika bora amejulikana mapema pesa zote alizoiba lazima zirudi mahakama ya mafisadi inamsubiri lazima asurubiwe.
Luhwavi kwa Magufuli hatoboi hata kidogo
 
Naona mawakala wa mafisadi mnaweweseka sasa
 
UNAFIKI UNA TABIA MBAYA SANA SASA NAONA MWAANZA TAFUTANA LAZIMA MUUWANE SI MMEBAKI WENYEWE KAZI IPI
 
huyu jamaa hafai kanisani wala msikitini. Anataka kufisha ndoto za watanzania kua na Taifa lenye maendeleo?
Leo ndio mmegundua ccm imeshindwa kuleta maendeleo!?
 
Luhwavi kwa Magufuli hatoboi hata kidogo

Wewe unasemaje? Kwamba Naibu Katibu mkuu wa chama Taifa hatoboi kwa mwanachama wa kawaida ambaye hana nafasi hata ya mwenyekiti wa kitongoji? Hapa ushindani si ni ndani ya chama?
Au unatudhibitishia kuwa kwenu serikali mnayoiunda mdiyo ina nguvu kuliko chama katika mambo ya chama? Hii statement yako ni ya aibu sana kama mwanachama. Au ndio sababu hata kwenye kikao cha Kamati kuu kule Dodoma Magu akamtuma Naibu spika kuhudhuria eti anamwakilisha Spika wakati utaratibu huo haupo na kina Kinana wakabaki kununa tuu?
 
Naona mawakala wa mafisadi mnaweweseka sasa
nyie ssm mlisema Gwajima afungiwe kanisa hafai yule leo yako wapi? unataka kutuaminisha kwamba Gwajima ni nabii hadi ulete tetesi hapa au na wewe umeota kama ASKOFU?
 
Fomu za kugombea uenyekiti zitatolewa lini ? Katiba ya CCM mbona inasiginwa ?
 
kwenye kundi la kondoo weusi akitokea mweupe bado ataitwa kondo na ukiwa mbali hutomtambua ssm ni umoja wa kondoo weusi mweupe mmoja hana madhara kweenu
 
Ni muda mwafaka kwa JPM kuweka mguu mmoja CCM na mwingine nje!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…