King Charles Coronatiin leo, viongozi wa Afrika hawaendi kupandishwa Coaster?

King Charles Coronatiin leo, viongozi wa Afrika hawaendi kupandishwa Coaster?

Kama walikuwepo wamewekwa mbali sana.

Nimefurahi kuona waimbisha kwaya na bendi ya taifa. Waimbishaji ni watu wazima sana.

Nimemuona prince Harry kakaa hukoo, naona wanambagua mno.
Aliondoka baada ya mzee kuapishwa tu tena peke yake
 
Kama walikuwepo wamewekwa mbali sana.

Nimefurahi kuona waimbisha kwaya na bendi ya taifa. Waimbishaji ni watu wazima sana.

Nimemuona prince Harry kakaa hukoo, naona wanambagua mno.
Sio anajibagua mwenyewe ? Hata mkewe hayupo hapo!
 
Sio anajibagua mwenyewe ? Hata mkewe hayupo hapo!
Angeenda na mkewe angezua mambo.

Attention ingegeukia kwao

Angemfunika hata mafalme

Na huwezi Jua wanaweza hata mdhuru Megan.

Bora mkewe hajaenda

Harry anapaswa kusaka hela kweli kweli ndio heahima yake itakuja

Otherwise watamuona takataka tu.
 
Who gives a fuc/< about Charles? Waliokolewa na ukoloni mamboleo, kama washabiki wa chadema, watajadili this garbage. Sie tunaojitambua tulishahama zamani kwenye kuwajadili mabeberu.
 
Back
Top Bottom