Mwizi wa kuku anapokamatwa na kushtakiwa tunapata nini? Je, hiyo inasolve solution ya wizi wa kuku nchini? Jibu ni hapana. Lakini sheria inasema ukiiba unakamatwa na kuswekwa lupango. Vivyo hivyo na Mkapa. Akikamatwa utakuwa ni mwazo wa kubadilisha system ya utendaji Tanzania. Marais watakaofuata watakuwa waadilifu zaidi wakizingatia kanuni za kisheria. Kama kweli tunataka kubadilkisha mindset na kuweka misingi bora ya sheria ni lazima tuanze na wale waliopewa dhamana ya kulinda sheria zetu. Tena kwa hao lazima tuwe wakali zaidi ili wananchi wa kawaida waweze kurejesha imani kuwa tunaishi chini ya utawala wa kisheria, ebo!
Ahsante sana Mkuu Jasusi.. Tanzania hakuna yeyote yule ambaye yuko above the law. Kama kuna mambo ambayo ameyafanya yamekiuka sheria za nchi basi ni lazima sheria ziachwe zichukue mkondo wake na siyo kuuliza maswali eti mkishtaki Mkapa mtapata nini!!! 😕
Kama Mkapa atashtakiwa basi Viongozi mbali mbali wa sasa na wa baadaye akiwemo Rais watakuwa wanafikiria mara mbili mbili kufanya ufisadi wanapokuwa madarakani lakini kwa hali ilivyo sasa Kiongozi anaweza kusema mbona Mkapa hakushtakiwa kwa ufisadi wake, mbona Mzee wa Vijisenti, Idrissa Rashid, Rostam na wengi wengine hawakushtakiwa. Hivyo na Kiongozi huyo kuamua kufanya ufisadi akiwa madarakani bila woga wowote.
Duh! mtu anathubutu kuuliza mtapata nini mkishtaki Mkapa!!! Kazi kweli kweli!
Waheshimiwa....I seriously think you guys have missed the point and dont see the big picture. Makosa ya Mkapa sio kama wizi wa kuku. Wizi/makosa ya Mkapa yanawekwa katika kundi lijulikanalo kama 'White Collar Crime".
Kwa nini kundi hili? Makosa kama haya yanahitaji sheria na mfumo mzima wa sheria ulio sophisticated kuweza ku-deal nayo.
Kwa stage yetu ya sheria, HATUNA UWEZO WA KU-PROSECUTE SUCH CRIMES. Angalia mfano wa Chiluba kule Zambia na pesa iliyotumika na bado akatoka huru. (kwa info zaidi search thread ya Zitto).
Mtatumia pesa nyingi, maana yeye atatumia kila trick katika kitabu ku-delay justice.
Ukitaka kujua hizi njia, uliza wana-sheria wanaofanya kazi kwenye makampuni ya insurance.
Pili, system yetu ya sheria iko very much inter-twined with politics. Hivi kweli utategemea AG (mwenye kadi ya chama) anyanyuke na kumshtaki mwana-chama mwenzake. Kumbuka, na yeye amekula hizo pesa pia.
Twende kwa DPP, huyu anachaguliwa na nani? Sio AG? Twende kwa ma-judge? Na ni nani aliyewachagua? Sio Rais? (Tena utakuta ni huyo huyo Mkapa)hahahaha.
Tatu, Ivi wana-sheria waliobobea watakaoweza ku-deal na hii Tanzania ni kina nani? Kina Alex Stuart?Sio nao wanasemekana wako linked na hayo ma-deal!! Who else? Mwakembye? Huyu anakula posho mara mbili na wana-kadi ya chama kimoja?
Kwanza yule wa Utamu mwenyewe, imishindikana ku-deal naye...hahaha! Sembuse Mkapa!!! Be serious guys!
At this stage, we can not deal with such crimes. We need to develop our judicial system. Na hii ndo njia pekee ya kuendelea.
Hivyo basi, solution ni nini? Change and improvement of the judicial system. From here, we can then have a serious discussion on helping the country badala ya blah blah za kila siku!!
am out...