Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Tanroard wamebomoa nyumba za wakazi wa kimara wakati kuna zuio la mahakama,hii ni zarauuuuu kubwa sana kwa mahakama zetu,chombo cha serekali kukataa kutii na kutekeleza amri halali ya mahakama nashindwa hata kuelezea,na kuamini kama kweli
Umejiridhisha kuwa nyumba zilizobomolewa zina zuio au unafuata mkumbo wa magazetini tu
Ushawahi kuona hata mfano wa zuio la mahakama?unajua kuwa lina muda maalum
Ningekushauri ungejielekeza kwenye kesi husika ukapata data za kina kabla ya kufungua thread na kulaumu kinga ya Rais huku ukisahau kuwa ardhi ni mali ya serikali wewe unakodishwa tu.Kasome sheria ya ardhi dada utapata uelewa mpana
 
ikiwa aridhi ni mali ya serikali kwa nini ikikutwa mmea wa bangi serikali hukana umiliki wake ?
 
Ukumbuke pia mahakamani ndio kunaongoza kwa rushwa ikifuatiwa na polisi, usishangae kuona inapuuzwa na serikali ata na wananchi wa kawaida. Kwa nakupa mfano mmoja. ivi karibuni mahakama imeamuru kulipwa kwa mabilioni ya fedha kwa kampuni iliotengeza ARV feki. Na mkuu amesema ivo pesa halipi je hapa utasemaje wapewe au wanyimwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada umetuelimisha jambo nzuri.. lakini kinga ya rais huwa iko kwenye katiba ya nchi kama sikosei.. kama ndio nafikiri huyu mkulu wa sasa hivi hiyo kinga haina ulazima kwake kwa sababu nchi anaendesha kwa kauli zake siyo kutokana na katiba ya nchi

counter attack siyo mbaya akistaafu
 
Nanukuu"nakulipa mshahara harafu unitukane???"mwisho wa kunukuu.
Waliopo kwenye mihimili mingine wanalinda ugali wao,kwa sababu mhimili uliojichimbia zaid ndiyo uliwaweka hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nchi hii Mtukufu amekua kila kitu, MAHAKAMA yeye, BUNGE yeye, SERIKALI yeye, Msemamaji mkuu YEYE.......Hivi tunaelekea wapi???akimaliza wa huku lazima atakufikia na wewe
tusikae kimyaa kukemea upuuzi huu
 
Huu wote ni upuuzi wa wabunge wenye akili ndogo kabisa kutoka CCM lakin wakwanza ni muasisi aliye liacha taifa likiwa na katiba ya kipuuzi kabisa
 
Kwanini serekali ikatae amri halali ya mahakama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Likifanikiwa hili lazima limkute la yule wa Romania wakati ule
 
Wakati unakula huruhusiwi kuongea. Maintain table manners!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
swadakta mkuu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…