Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

ni kweli kabisa,hapo bado maraisi wanaoishi kama ndezi katikati ya mbwa mwitu baada ya kuachishwa madaraka,akina Yahaya Jameh wanaficha magari hadi porini,akina Mugabe umaarufu umetoweka ghafla baada ya kuondolewa madarakani kabila kila leo anakaliwa kooni nk,bado hapa kwetu wanahofia nini kitatokea siku katiba ikibadilika,matokeo wanatumia nguvu kubwa kuvuruga mchakato wa katiba mpya,siku zinabadilika sana,sura ya ulimwengu inabadilika sana kadri siku zinavyokwenda
Mke wa Mugabe kilichomwokoa akiwemo Mugabe mwenyewe ni UMRI tu.

La sivyo huyo Grace mpiga dili za dhanabu amgekuwa kizimbani.Hawataki mzee aumie moyoni maana atakosa mtu wa kumsaidia.
 
Maendeleo ya vitu huku umasikini wa watu unaongezeka?

Maendeleo ya vitu huku ajira hakuna na watu wanapunguzwa makazini?

Maendeleo ya vitu huku watu wanamaliza vyuo na hawana pa kwenda?

Maendeleo ya vitu huku watumishi wa umma wamesahalika?

Maendeleo ya vitu huku mazao ya wakulima yanakosa masoko?

Maendeleo ya vitu huku uchumi unalalamikiwa?

Maendeleo ya vitu huku watu kila siku wanatekwa au kupotezwa?

Maendeleo ya vitu huku chaguzi zinavurugwa?

Lazima tu-balance haya mambo vinginevyo tunatengeneza bomu litakalokuja kutulipukia.
Noted!
 
Inategemea na sheria ya nchi inasemaje juu ya watu hawa hata wanapoachia nyazifa zao za uongozi
 
upinzani ukishika dola Tanzania ex president atakayepona kibano labda ni mzee Ruksa pekee.
Unaakili sawasawa yaani upinzani ushike dola la Tanzania. Safiri nenda zanzibar kakutane wa waasisi wa CUF. Chagadema mnapoteza muda nendeni milimani mkafufue kahawa iwasaidie kiuchumi. Dola siyo saizi yenu
 
Unaakili sawasawa yaani upinzani ushike dola la Tanzania. Safiri nenda zanzibar kakutane wa waasisi wa CUF. Chagadema mnapoteza muda nendeni milimani mkafufue kahawa iwasaidie kiuchumi. Dola siyo saizi yenu
Duh! umesikika.
Nafikiri Mada hukuielewa.
 
Si mnaye huko na mwezie. L&S sasa wadaini tu msitupigie kelele humu
Mimi sihusikina hao unaowataja. Mada yangu ni huru na Kizalendo. Bila kumlenga mtu yeyote.
Mambo ya kuniambia "Si mnaye huko na mwenzie"Halafu neno "MSITUPIGIE kelele"
Una maana gani. Ni mimi na nani?
Nitashikuru ukinijibu.
Shukurani.
 
Nakumbuka wazee wa zamani wakisema punda akijamba kwa nguvu ujue kuna kipigo kimempata bila kujua. Na wewe fimbo imekupata ndiyo maana unahanyahanya.
Nashukuru kwa kunielewa kama nilivyosema kuwa mimi ni mimina a wao ni wao!!!
Shukrani.
 
Kwa wananchi wa kawaida ukiwambia Magufuli ni MBAYA watakuona wewe hauko sawa sawa. Maana KOROSHO zimepata SOKO na kwa bei nzuri. Nk nk.
Kama Korosho zimepata soko tamu hivyo, Mb Nape Nnauye aingelalamika Bungeni juzi..
Kwa Serikali hii, na chama hiki cha kuminya uhuru wa habari, tutalishwa matango pori kila siku..
 
View attachment 737179
Rais wa zamani wa A/Kusini Jacob Zuma akiwa kizimbani.
View attachment 737185
Rais wa zamani wa Brazil Lila De Silva akiwa kizimbani.
View attachment 737187
Rais wa zamani wa Korea Kusini, Park alipokuwa akipelekwa Mahakamani.

Kumekuwa na wimbi jipya sana linaloendelea duniani la kushitakiwa viongozi wa nchi na WASHIRIKA wao pinde anapoachia madaraka hasa kutokana na UFISADI.

1.Tumeona rais wa zamani wa Afrika Kusini akiwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka 16 ya UFISADI miongoni mwa mashtaka hayo ni MANUNUZI ya SILAHA miaka ya 90. ya dollar billioni 2.5 za Kimarekami !!!!
Huku mshirika wake MKUU GUPTA ambaye ndiye aliyekuwa akimsaidia Zuma yuko matatani.
anatafutwa.

2.Rais Lule de Silva wa Brazil KUFUNGWA miaka 12 gerezani baada ya kuwa rais kwa miongo miwili katika utawala wake kwa kosa la UFISADI na kutumia madaraka yake KUJITAJIRISHA na kupokea RUSHWA!.

3.Rais wa zamani na wa kwanza mwanamke wa KOREA KUSINI Ms Park kahukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 24 gerezani, na kuilipa serikali Dollar za Kimarekani millioni 24.
MSAIDIZI wake aliyekuwa AKITENGENEZA DILI zake miaka nafikiri 10

Wakati vuguvuvugu la vyama vingi lilipoanza lilianza hivi hivi tu baadaye likapokelewa na Afrika na Tanzania kwa ujumla. "You cannot resist an idea whose time has come"./Huwezi kuzuia NIA/WAZO ambalo wakati wake umefika!

TUPENDE , TUSIPENDE siku moja litatokea Tanzania. Hamna huruma kwa watu walio ila Tanzania na kuwafanya Watanzania wengine kama second class Citizens and destitute/Maskini wa kutupwana watu wa daraja la pili

Wakati wengine WANAKULA na KUSAZA na KUENDESHA MAGARI yanyaozidi mishahara yao.Majumba mabayo hawawezi kuelezea WALIYAPATA namna gani.

Nasema hivi kwa sababu. Kwa nini Rais Magufuli kwa Muda mfupi wa kipindi cha MIAKA 2 NA NUSU tu ameweza KUFANYA mambo MAKUBWA sana. Kwani VIONGOZI waliomtangulia HAWAKUYAONA?????

Let's call a Spade a Spade/Acha tuite kama ni Koleo ni Koleo na si KIJIKO.
UKWELI ni lazima USEMWE.
Within miaka miwili na nusu. Ndege ndo hizo na zingine zinakuja. Elimu bure, KUDHIBITI Madini yetu. SGR sijui nini Mambo meengi sana mzee kafanya.
Tumpongeze.



Hata haya ya jana aliyoyafanya ya kujenga na kufungua UKUTA MERARANI liliokuwa ni NDOTO kwa wengine. alifanya hivyo ili KUNUFAISHA Watanzania WASIENDELEE KUIBIWA raslmali zao. Kweli MAGUFULI ANASTAHILI PONGEZI sana sana.

Pamoja na mapungufu yake ambayo tunajaribu kumshauri kila wakati kupitia mitandao ya jamii. Maana naye ni binadamu SI Malaika.
Lakini ukweli AISEE Mzee AMEFANYA KAZI zinazoonekana

Kama tukiweka kwenya MIZANI nafikiri UZITO wa MAZURI utaushinda MAPUNGUFU yake.

Hata katika maoni yangu si kwamba kila kitu huwa ninakubaliana naye, kuna wakati nakosoa na kutoa ushauri. Ili mtu asiseme bla bla sijui nini!

Maana hata KATIKA FAMILIA yeyoteile mtu na NDUGU yake si LAZIMA wakubaliane kimawazo wakati mwingine hutofautiana sana.

Hata hivyo hubaki kuwa wao ni ndugu mwishowe HUELEWANA na maisha yanaendelea.
Na hiyo ndo tabia ya kibinadamu.


POINTI yangu kuu ni kuwa naamni SIKU MOJA WATU fulani watakuja kujibu KWA NINI WALIIFIRISISHA Tanzania kupitia UFISADI.

Niaamini. itafika mahali CHAMA cha CCM na WABUNGE wa vyama vingine kwa PAMOJA wataungana ili kukiondoa KIFUNGU cha IMMUNITY ya kutokushtakiwa kwa {sic}


Hata kama si huyu Rais Magufuli SASA basi rais atakayekuja siku zijazo huenda akawa na MAONO na UCHUNGU kama wa Magufuli wa NCHI na WANANCHI wake ATAKUWA na UJASIRI na kuwapeleka MAHAKAMANI viongozi MAFISADI bila huruma.

Kama ilivyo mbali mbingu na ardhi, vivyo hivyo huu ushauri na ccm. Katika nchi ambayo mahakama na bunge havipo huru sahau kabisa hilo bwasheee
 
Back
Top Bottom