Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

kwa tz hii na maiti hawa wanaoitwa wananchi ni vizuri kuota
Kama kuna wahuni wanafanya hayo. Sheria itawapata siku moja.
Hata hivyo mkuu wa nchi yetu hana moyo wa KUUA.
Labda wewe unajua zaidi unaweza kutuwekea uwazi. Ili tusitetee kilicho wazi.
Weka hapa.
 
Wanatia huruma
Umajua binadamu hujisahau sana anapokuwa madarakani.Awe ni Kiongozi wa Shirika ama Waziri ama wa Kitengo chochote.
Mambo yanapobadilika hao hao nao wanakugeuka hawakuiti tena AFANDE.
Ni jambo amabalo silielewagi sana.
 
Naona hujanipata bado. KOSA la RUSHWA la SILAHA MOJA ya MENGI ikiwa ni PAMOJA na alipokuwa MADARAKANI,
1.Alitumia mamillioni ya dola za Kimarekani ili KUJENGEA WAKE ZAKE 5 JUMBA huko kijijini.
Hiyo case pia INAMKABILI na nyingine nyingi
.
Jaribu kujifahamisha kidogohalafu rudi tuendelee na mjadala.
Hiyo ya kujenga nyumba iliishaisha dogo. Acha kuchanganya mafaili kwasababu ya chuki. Chuki mbaya sana.
 
Habari Iko vizuri sema tu kumsifia huyo jamaa mambo ya elimu bure sijui na nini, hapo sijakusoma
 
Kwa mujibujibu Wa katiba yetu ...raisi hawez kushtakiwa kwa jambo alilolifanya akiwa madarakani.

Kuto kuwashtaki ni kitu kizuri.
 
Hiyo ya kujenga nyumba iliishaisha dogo. Acha kuchanganya mafaili kwasababu ya chuki. Chuki mbaya sana.
Hii si mambo yanayohusiana na CHUKI. Mbona mkuu hili la MAFISADI kushitakiwa mbona linakuumiza sana?
Are you a beneficiary ?
 
Habari Iko vizuri sema tu kumsifia huyo jamaa mambo ya elimu bure sijui na nini, hapo sijakusoma
Pia usisahau kuwa habari hii NI NZURI TU KWA wale WANAOONA. Ila kwa vipofu hii ni habari mbaya sana, Ama vipi?
 
Naona kuna mmoja asije kuugua tumbo la kuharisha!!! Acha wazee wapumzike japo ni kweli kuna baadhi "walipiga"
 
Kwa mujibujibu Wa katiba yetu ...raisi hawez kushtakiwa kwa jambo alilolifanya akiwa madarakani.

Kuto kuwashtaki ni kitu kizuri.
Aisee. Hivyo, Waziri, na yeyote aliyeiibia serikali na kuwafanya kuwa maskini wabaki tu.
Hili haliko mbali
Watu hawawezi kuwa WANAIBA halafu wanajificha kwenye Immunity ya kushitakiwa.
ISIPOKUWA. Yale ambayo RAIS aliyafanya akiwa katika utendaji WAKE WA kazi HAPO nakubaliana nawe Rais asishitakiwe.
Isipokuwa RUSHWA na UFISADI si jukumu la utendaji wa Mtawala yeyote yule duniani.
Rais NIXION alishitakiwa KWA kukiuka tartibu za uongozi na kuvunja sheria makusudi.
Alishitakiwa akiwa Madarakani mapka akatoka.
Tukiruhusu tuibiwe na tukae kimya hasara ni ya Watanzania.
 
View attachment 737179
Rais wa zamani wa A/Kusini Jacob Zuma akiwa kizimbani.
View attachment 737185
Rais wa zamani wa Brazil Lila De Silva akiwa kizimbani.
View attachment 737187
Rais wa zamani wa Korea Kusini, Park alipokuwa akipelekwa Mahakamani.

Kumekuwa na wimbi jipya sana linaloendelea duniani la kushitakiwa viongozi wa nchi na WASHIRIKA wao pinde anapoachia madaraka hasa kutokana na UFISADI.

1.Tumeona rais wa zamani wa Afrika Kusini akiwa kizimbani kwa makosa ya UFISADI baadhi ya mashataka ni MANUNUZI ya SILAHA miaka ya 90. !!!!
Huku mshirika wake MKUU GUPTA ambaye ndiye aliyekuwa akimsaidia Zuma yuko matatani.
anatafutwa.

2.Rais Lule de Silva wa Brazil KUFUNGWA miaka 12 gerezani baada ya kuwa rais kwa miongo miwili katika utawala wake kwa kosa la UFISADI na kutumia madaraka yake KUJITAJIRISHA na kupokea RUSHWA!.

3.Rais wa zamani na wa kwanza mwanamke wa KOREA KUSINI Ms Park kahukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 24 gerezani, na kuilipa serikali Dollar za Kimarekani millioni 24.
MSAIDIZI wake aliyekuwa AKITENGENEZA DILI zake miaka nafikiri 10

Wakati vuguvuvugu la vyama vingi lilipoanza lilianza hivi hivi tu baadaye likapokelewa na Afrika na Tanzania kwa ujumla. "You cannot resist an idea whose time has come"./Huwezi kuzuia NIA/WAZO ambalo wakati wake umefika!

TUPENDE , TUSIPENDE siku moja litatokea Tanzania. Hamna huruma kwa watu walio ila Tanzania na kuwafanya Watanzania wengine kama second class Citizens and destitute/Maskini wa kutupwana watu wa daraja la pili

Wakati wengine WANAKULA na KUSAZA na KUENDESHA MAGARI yanyaozidi mishahara yao.Majumba mabayo hawawezi kuelezea WALIYAPATA namana gani.

Nasema hivi kwa sababu. Kwa nini Rais Magufuli kwa Muda mfupi wa kipindi cha MIAKA 2 NA NUSU tu ameweza KUFANYA mambo MAKUBWA sana. Kwani VIONGOZI waliomtangulia HAWAKUYAONA?????

Let's call a Spade a Spade/Acha tuite kama ni Koleo ni Koleo na si KIJIKO.
UKWELI ni lazima USEMWE.
Within miaka miwili na nusu. Ndege ndo hizo na zingine zinakuja. Elimu bure, KUDHIBITI Madini yetu. SGR sijui nini Mambo meengi sana mzee kafanya.
Tumpongeze.



Hata haya ya jana aliyoyafanya ya kujenga na kufungua UKUTA MERARANI liliokuwa ni NDOTO kwa wengine. alifanya hivyo ili KUNUFAISHA Watanzania WASIENDELEE KUIBIWA raslmali zao. Kweli MAGUFULI ANASTAHILI PONGEZI sana sana.

Pamoja na mapungufu yake ambayo tunajaribu kumshauri kila wakati kupitia mitandao ya jamii. Maana naye ni binadamu SI Malaika.
Lakini ukweli AISEE Mzee AMEFANYA KAZI zinazoonekana

Kama tukiweka kwenya MIZANI nafikiri UZITO wa MAZURI ota ushinda MAPUNGUFU yake.

Hata katika maoni yangu si kwamba kila kitu huwa ninakubaliana naye, kuna wakati nakosoa na kutoa ushauri. Ili mtu asiseme bla bla sijui nini!

Maana hata KATIKA FAMILIA yeyoteile mtu na NDUGU yake si LAZIMA wakubaliane kimawazo wakati mwingine hutofautiana sana.

Hata hivyo hubaki kuwa wao ni ndugu mwishowe HUELEWANA na maisha yanaendelea.
Na hiyo ndo tabia ya kibinadamu.


POINTI yangu kuu ni kuwa naamni SIKU MOJA WATU fulani watakuja kujibu KWA NINI WALIIFIRISISHA Tanzania kupitia UFISADI.

Niaamini. itafika mahali CHAMA cha CCM na WABUNGE wa vyama vingine kwa PAMOJA wataungana ili kukiondoa KIFUNGU cha IMMUNITY ya kutokushtakiwa kwa {sic}


Hata kama si huyu Rais Magufuli SASA basi rais atakayekuja siku zijazo huenda akawa na MAONO na UCHUNGU kama wa Magufuli wa NCHI na WANANCHI wake ATAKUWA na UJASIRI na kuwapeleka MAHAKAMANI viongozi MAFISADI bila huruma.
Iwahi hata kesho tu
 
Naona kuna mmoja asije kuugua tumbo la kuharisha!!! Acha wazee wapumzike japo ni kweli kuna baadhi "walipiga"
Sheria HAINA HURUMA.
Angalia mama wa watu huko Korea Kusini. Miaka 24 BILA HURUMA.
Ndo maana wamefanikiwa kuliko sisi tunalindana. Hilo la kulindana halitadumu.
 
Tanzania hatuna shida sana na Viongozi wetu wastafu kama hizo nchi. Naomba wimbi la kushitaki viongozi waliobariki/walioua raia wasio na hatia kule Iraq, Cossovo, Libya, Palestine, Nagasaki, Syria, Yemen, Soweto, Vietinam n.k wapelekwe The Hague
Hapana tunayo sana mkuu ila serikali inajitahidi kuweka vikwazo but one day yes
 
kwa tz hii na maiti hawa wanaoitwa wananchi ni vizuri kuota
Wimbi huwa likianza huleta kimbunga. Huangusha miti mikubwa.
Tumechoka KUIBIWA.Tanzania lazima watu washutakiwe.
Wengine wanaishi kama ........Na wengine wanaishi maisha ya umaskini wa kutupwa eti sababu
Tunalindana. This should come to an end.
WABUNGE wajadili hilo kwa KINA bila hivyo kila mtu akija NUKULA na KUPIGA dili.
hATUWEZI kuwa na nchi ya namana hiyo mkuu.
 
katiba hairuhusu hicho kitu.
As ana ACT of parliament inweza kuwa amended.
Kama mtu ALIIBIA serikali ashitakiwe.
Si kumshitaki kwa majukumu yake aliyokuwa akiyafanya akiwa uongozini. Bali
Kiongozi MWIZI lazima WABUNGE waliangalie hili. Na kulibadilisha.
KATIBA iliandikwa na wanadamu.N a wanadamu ndo watakaoi badilisha.
 
Back
Top Bottom