Kingereza kitafelisha wengi kwenye Oral Interview. Mwalimu kama hujui kingereza ni bora usijisumbue

Kingereza kitafelisha wengi kwenye Oral Interview. Mwalimu kama hujui kingereza ni bora usijisumbue

Yani ni kwamba hizi saili za kutumia lugha ya kingereza hasa tukisailiana sisi wabongo, Wala usiogope kabisa tena usihofu Hadi ukashindwa kuongea, kosa kubwa utalifanya pale ambapo utaogopa kuongea na kuanza kutetemeka, sukuma hivyo hivyo hata kama unaunga, kitu kizuri ni kwamba hata wao wanajua kuwa wapo unga kwenye lugha hivyo mnafanana Kwa kiasi tofauti ni uzoefu ambao unawaongezea kujiamini, We are humans ndugu.
 
Dogo anawazia oral anaichukulia poa written mm kwa udhoefu wangu naona oral ni rahisi kuliko written.
 
Kwa hiyo mtoa mada unataka kusema walimu,kiingereza wameanza kukutuna nacho kwanye Interview tu?,Na pia unataka kutuaminisha walimu hivyo vyeti vyao walipewa tu?
.Acha kutisha watu,Unaweza itwa kwenye usaili na Lugha Ikawa kiswahili na bado ukafeli tu😅.Walimu msikatishwe tamaa mkapambane mpaka mwisho,huu unaweza ukawa ndio wakati wako.
 
Jamhuri ya Muungano....

Kwenye usaili wa Oral Kada ya afya wengi wameboronga kwa sababu ya kingereza kibovu. Kutokujua kingereza wengi kumewafanya wasijiamini katika kujieleza.

Ndugu zetu walimu ni vizuri Siku Mbili zilizobakia kama unajijua unaongea broken English, bora ujipige Msasa kuficha udhaifu huo.

Maswali yalikuwa marahisi lakini changamoto Kwa wengi ilikuwa kujieleza Kwa ufasaha Kwa kingereza.
Mwalimu kama unajijua Somo Lako utatumia kingereza kufundishia jitahidi Sana kujinoa. Maana Broken English huku itakufanya ukandwe.

Umuhimu wa kusoma Shule za English Medium kwèñye hizi interview unaonekana.
Yule liqud anawadanganya.
Wewe ni mtu wa utumishi?

Umejuaji watu wamefeli?

Mbona mjuaji sana
 
Back
Top Bottom