Tetesi: Kingunge kurejea CCM wiki hii?

Tetesi: Kingunge kurejea CCM wiki hii?

Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Kuna nini alichosahau huko? Kama ni kweli basi atakuwa ni mwendokasi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Jifunze kuelewa na kujenga hoja kwa Mifano.

Mie nimekueleza kuwa Kingunge aliachana na Ukatoliki akiwa Kidato cha pili na hayo kayaeleza Mwenyewe 2010 kwny Press conference akipinga Tena Msimamo wa Kanisa Katoliki kutoa Waraka wa kuwaelekeza Wakristo namna ya kupiga kura.
Wewe Umeniita Mjinga na Muongo kwa kueleza Wapi na Lini alijiunga Kwny Ukomonist kuwa ni baada ya Uhuru Nyerere alipowapeleka USSR kusoma.

Nyakati za kujiunga na Ukomonist si lazima iwe ni tarehe aliyojitoa kwny Ukatoliki ni sawa na sasa tarehe ya kujitoa CCM si lazima iwe ni tarehe hizo hizo ndio awe kajiunga na Chama kingine!

Kama Yeye kasema Alijitoa akiwa kidato cha Pili na Mie nakuwa Mjinga kumuamini Kingunge badala ya Wewe basi ni Vizuri Kama utathibitisha kuwa aliondoka Tanzania akiwa Mkatoliki kwa kuwa huenda aliondoka akiwa so Mkatoliki na pia si Mkomonist japo alirudi akiwa Mkomonist.
Una ushabiki wa kipuuzi sana wewe mswahili kingunge alijiengua kwenye ukristo soon baada ya kujiunga kwenye mafunzo ya Itikadi ya kijamaa hyo form two ajitoe vipi ilhali starti la kusoma ilikua lazima uwe wa dhehebu hilo?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
ALIYOTAKA YAFANYWE NA LOWASA YANAFANYWA NA RAIS ALIYEKO MADARAKANI KWA UMAKINI, UHAKIKA NA WELEDI WA HALI YA JUU.
ATATAMKA TU KUWA ANAMUUNGA MKONO RAIS NA KURUDISHA KITU KIDOGO ALICHOPEWA KWA KUMUUNGA MKONO LOWASA.
 
Hivi CCM hawaoni aibu Dar yote, Arusha, Iringa, Mbeya, Kilimanjaro, n.k kuchukuliwa na upinzani? Hadi Ikulu ipo chini ya UKAWA. CCM imebaki na Dodoma yake ya wenye elimu hafifu. Kwa serikali kuhamia Dodoma maana yake ni kupeleka wasomi Dodoma na maana yake zaidi ni kuhatarisha ushindi wa CCM hasa Dodoma mjini. Watch it!
 
Hivi CCM hawaoni aibu Dar yote, Arusha, Iringa, Mbeya, Kilimanjaro, n.k kuchukuliwa na upinzani? Hadi Ikulu ipo chini ya UKAWA. CCM imebaki na Dodoma yake ya wenye elimu hafifu. Kwa serikali kuhamia Dodoma maana yake ni kupeleka wasomi Dodoma na maana yake zaidi ni kuhatarisha ushindi wa CCM hasa Dodoma mjini. Watch it!
Bawacha mna matatizo ya akili, hebu tafuteni mwanasaikolojia awasaidie
 
HUYU MHENGA ANATANGATANGA TU...
NJAA MBAYA SANA

Post sent using JamiiForums mobile app
Kingunge aiseee Hana njaa hiyo unayoifikiri na hata akirudi si kwasababu ya pesa. Mifugo yake inakula Milo mizuri kuliko baadhi ya watanzania na kulala pazuri kuliko hata unakozania

Sent from my Royale A1 using JamiiForums mobile app
 
Harafu bwana wanasiasa wa Tz hawanaga aibu kabisa, juzi nilikuwa youtube nilikuwa naangalia moja ya clip za F. Sumaye akiongea na wanahabari mpaka nikaona aibu mimi mtazamaji hasa alivyoongelea kuhusu mikataba ya madini aisee ni aibu kwa kweli si mchezo tena huwa wanaoongea wakiwa wakavu kabisa!!
 
Labda ndio Polepole anasema wanajiandaa kumpokea kiongozi mkubwa wa upinzani wiki hii(amesahau kuwa ni mwenzao bado)kumbe watanzania wanakumbuka kuwa hajawahi tioka na kuhamia chama chochotea!
Mkuu kwani kingunge ana wadhifa gani upinzani mpaka polepole aseme na ww hisia zako ziwe kingunge?
 
MoseKing: Je ni kweli kwamba Dar yote, Kilimanjaro, Arusha, na miji/majiji ya Mbeya, Iringa, Tunduru, Mikumi, Mlimba, Kilombero, Ndanda, n.k. ipo chini himaya ya Chadema? Kama si kweli twambie ipo chini ya chama gani?
 
Sahihisho: MoseKing: Je ni kweli kwamba Dar yote, Kilimanjaro, Arusha, na miji/majiji ya Mbeya, Iringa, Tunduma, Mikumi, Mlimba, Kilombero, Ndanda, n.k. ipo chini himaya ya Chadema? Kama si kweli twambie ipo chini ya chama gani?
 
Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Naona yale mamilioni aliyopewa na EL ili aishawishi kamati kuu CCM impitishe kugombea urais yameisha. Na sasa EL haendelei kumpa mapesa.

Sent from my vivo 1610 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama kosa lake la kumuita mgombea 'nyapara wa barabara' linasameheka kwani ni kubwa kuliko la Sophia, Madabida, nk!
 
Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Sawa na kutangaza kuwa paka mzee anarudi nyumbani baada ya kushindwa kuwinda panzi na wadudu mbugani!

Njaa mbaya, watu watakula matapishi!
 
Back
Top Bottom