Mkuu ebu nipe story yake kidogo natamani kujua kwa undani iko interestingJina lake la kizungu kabla ya kujitoa Kanisani aliitwa Marcus, nduguze ni Wakristo mpaka Leo
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ebu nipe story yake kidogo natamani kujua kwa undani iko interestingJina lake la kizungu kabla ya kujitoa Kanisani aliitwa Marcus, nduguze ni Wakristo mpaka Leo
Kabisa aseehajawahi toka CCM, alitofautiana nao, hajawahi rudisha kadi au kuingia chama chochote
Wapinzani wote wapo kwa kazi maalum mkuu elewa hilo!Kwani wewe unadhani Kingunge, Masha na Sumuye ni wapinzani? Hawa ilikuwa kazi maalumu
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kumbe hujijui kuwa wewe ni zombie?d
duh! naona napoteza mwelekeo nikiendelea kumfatilia zombie😡
Na Dr Slaa pia!Kingunge, lowassa , Sumae wote ni CCM na hawajawahi kurudisha kadi.
Huko huko wapi?!!!
Atapewa Tamisemi kwa ubunge upi?!Wanao dhani ni kingunge imekula kwao gwiji wa siasa tanzania Dr slaa kutua ccm na kupewa tamisemi aiongoze. Beba au acha
Kingunge ni muumini wa ujamaa wa urusi.... baada ya kutumwa Na nyerere kwenda kujifunza ukomunisti enzi za USSR ndipo aliachana na ukristo. Si yeye tu wapo wengi. Acha kuweka hadithi za kitoto.
Post sent using JamiiForums mobile app
Ni lini Kingunge alihamia Chadema? Hivi ukiwa ccm ndio ubongo unajaa fungus?Kwa hiyo Lowasa alipohamia chadema ilikuwa njaa ??
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwa wenzake.Huko huko wapi?!!!
Akirudi mtatangaziwa kama madiwani wanaohama mnavyowatangaza kupitia kitengo cha kuhamia si bado kiko kazini hakijamaliza mradi waliokabidhiwaKuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!