mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Si pema tenaMhenga aliyesema pema ujapo pema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si pema tenaMhenga aliyesema pema ujapo pema
hahahahawewe huenda ni MHENGA !shikamoo!
Hata Lowassa na Sumaye hawajarudisha kadi za CCM.kwani Kingunge alishajiunga na chama chochote kingine cha siasa mbali na ccm na kuchukuwa kadi? naomba nikumbushwe mambo mengi.
Wewe mwenyewe unaonekana una kansa, tena ile mbaya. Shauri yako.Hakuna wasi???? hujui hata utapona lini kama kansa
Tena bado wanazilipia!Hata Lowassa na Sumaye hawajarudisha kadi za CCM.
Kwani Lowasa au Dr Slaa na yule Sumaye waliwahi kurudisha kadi za CCM?!!
Anarejea kumuunga mkono Dr Magufuli aliondoka na Lowasa 2015 akidai ati CCM imeishiwa pumzi teh...teh...teh!!!!!Arejee ccm kwani aliamia chama gani? Kingunge yy ni mwanaccm tangia hapo
Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Kingunge hakuhama CCM na hakujiunga na chama kingine chochote kile
duh! naona napoteza mwelekeo nikiendelea kumfatilia zombie😡Wewe mwenyewe unaonekana una kansa, tena ile mbaya. Shauri yako.
Uliwahi kumuona Sumaye siku akikabidhiwa kadi ya chadema?hapana, hawakurudisha kadi za ccm, lakin walichukua kadi za chadema! ukichukua kadi ya chama kingine maana yake ile ulokuwa nayo zamani imekufa.
sasa kingunge hajawahi chukua kadi ya chadema. alikuwepo chadema kuwapa sapoti tu.
Unadhani aliposema CCM imeishiwa pumzi alimaanisha nini?!Ni kweli kabisa, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru hajawahi kusema kahama CCM na hajawahi kujiunga na CHADEMA; ila alienda UKAWA kuongeza nguvu wakati wa kampeni.
Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Arejee akitokea wapi? kwani aliwahi hama chama cha mapinduzi!...au ile kusema anamuunga mkono Lowassa kugombea Urais kwa kupitia Ukawa ndo mnasema aliondoka CCM? na je kwani alijiunga na chama gani mpaka arejee??Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Kwani wewe unadhani Kingunge, Masha na Sumuye ni wapinzani? Hawa ilikuwa kazi maalumuKuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Kurejea siyo lazima awe alijiunga na chama kingine hata Dr Slaa anaweza kurejea chadema au kama Lipumba alirejea Cuf! Kuhama chama siyo lazima ubebe mizigo, kuhamisha fikra tu inatosha kama ambavyo Mghwila na Kitila wanavyotekeleza ilani ya CCM kwa sasa. Siasa ni taaluma ndio maana Kingunge alipoaga kwa kusema ' CCM imeishiwa pumzi' wengi hamkumuelewa!Arejee akitokea wapi? kwani aliwahi hama chama cha mapinduzi!...au ile kusema anamuunga mkono Lowassa kugombea Urais kwa kupitia Ukawa ndo mnasema aliondoka CCM? na je kwani alijiunga na chama gani mpaka arejee??