Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa pumzi imekata?Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
hajawahi toka CCM, alitofautiana nao, hajawahi rudisha kadi au kuingia chama chochoteKuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Mhenga aliyesema pema ujapo pemaKuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Kwa hiyo Lowasa alipohamia chadema ilikuwa njaa ??HUYU MHENGA ANATANGATANGA TU...
NJAA MBAYA SANA
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwani Lowasa au Dr Slaa na yule Sumaye waliwahi kurudisha kadi za CCM?!!hajawahi toka CCM, alitofautiana nao, hajawahi rudisha kadi au kuingia chama chochote
So anarudi nyumbani, wahenga walisema ' mwenda kwao si mtoro'Kingunge alikuwa Frustrated kwa kusudi na Jk na alikuwa kwny orodha ya watakaofukuzwa kama kina Sophia Simba ndio akaondoka Ila ni CCM kuliko Nyerere
Kingunge hakuhama CCM na hakujiunga na chama kingine chochote kileKuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
huyu mhenga huwaga nasikia hana DINI si ajabu nikasikia hana CHAMA pia..
Labda na yeye amenunuliwa na hela za dezo maana siku hizi hiyo ndiyo imekuwa staili ya ccm kupata wanachama wapya
Kwani Ukawa walimnunua?!Labda na yeye amenunuliwa na hela za dezo maana siku hizi hiyo ndiyo imekuwa staili ya ccm kupata wanachama wapya
hata akirudi CCM atasaidia nini? alikuwa huko tangu sijazaliwa nimezaliwa na sasa nazeeka akakimbilia cdm. tunashukuru amechangia kubusti cdm imepata wabunge wengi halmashauri nyingi. kwahiyo hata akiondoka hakuna shida tumeshmtumia ametunufaisha inatosha. arudi akamalizie uhai wake CCM.Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Aliondoka jahazini kwenda kwenye kaboti, kaboti kakazidiwa upepo na mawimbi, jahazi linasepa, akirudi poa kwa ushauri ili nafikiri wa kijani wanahitaji damu changa machachari wanaojiamini...Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!