Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kingunge anasema alishauriana/alimshauri lowassa achie ngazi uwaziri mkuu! Mwenye uwezo na uhalali Wa kuyafanya hayo ni make Wa lowassa tu ambae nae hata hivyo hakua anajua kama lowassa anaachia ngazi siku ile ndo mana alipigwa na butwaa ,lakini shida ni nini kina kingunge si wapewe mzoga wao waondoke nao ccm,hakuna atakaewapa nafasi kwenye kampeni waache kudanganyana
 
Huyu mzee hana aibu kabisa! uso umemkakamaa kama anakula siment. Hivi Nyerere angekuwa hai angeweza kuropoka ujinga huu kweli!? Anakomaa kum quote Marehemu Karume kwa ajili ya Lowasa kwenye hoja isiyomuhusu! Vizee kama hivi vina asili ya uchawi tu.

Tulia dawa ikuingie wewe,jadili alichoongea usimjadli umbile lake. Huko kwenu hakuna watu wazima wenye umri kama Kingunge?
 
CCM hawajawahi kufuata sheria au taratibu kwenye mambo makubwa.... kuwa wanaangalia upepo unaendeje!! Huyu mzee anatakiwa kulijua hili vizuri kabisa kwa vile amekuwa part ya maamuzi ya design hizi ndani ya CCM kwa muda mrefu!!!!

mfano kwenye bunge la katiba hata,
jinsi ccm wanavyoshind chaguzi mbalimbali,mkuki kwa nguruwe sio!
 
NINA WASIWASI: Kama sisiemu imeshindwa kuwatendea wagombea wake haki, itakuwaje kwetu wananchi; si itakuwa balaa tukiwapa madaraka tena?
 
Mnao mdharau Mzee Kingunge hamjui kitu na mpo kama bendera fuata upepo! Kingunge ni mzee makini sana na mnaofurahia jambo hili mtakuja jutia siku moja!

umakini wa kingunge uko wapi anaongea haya ili iweje,kwa wakati huu ?,mpuuzi mzee hovyo,
 
NINA WASIWASI: Kama sisiemu imeshindwa kuwatendea wagombea wake haki, itakuwaje kwetu wananchi; si itakuwa balaa tukiwapa madaraka tena?

haki ipi unaitaja? kati ya wote nani analalamika kuwa hajatendewa haki,?
walikuwa 38 nani hajatendewa haki,
 
hii c story tena sasa hivi wanaccm tuungane tu tuache malumbano kuwe na tofauti ya ccm na ukawa tujipange kwa ushindi wa kishindo.mzee kingunge we ni hazina ya chama wachache mliobaki ccm sasa hivi hakuna mshindi zaidi ya chama aidha chama kikemee kwa nguvu zote kauli yoyote yenye nia ya kuendeleza mpasuko utatugharimu chondechonde..uongozi hutoka kwa mungu..mungu ibariki ccm mungu ibariki tz
 
Wacha kututisha. Kingunge amesema alivyosema kama vile kijana wa ukawa. CCM ina utaratibu wake wa kusema kwenye vikao rasmi vya chama.

CCM haisemi barabarani kama vijan wa ukawa. Wajumbe wa NEC ya CCM ni wajumbe halali waliopewa madaraka ya kufanya maamuzi kwa mujibu wa Katiba ya chama. CCM ina utaratibu wa kukosoa jambo lolote lakini ndani ya mfumo uliowekwa na kutambulika na kila mwanachama.

Yaelekea Kingunge amezeeka kiasi kuwa hata namna mambo ya chama yanavyoendeshwa amesahau. Wakati yeye ana mapenzi binafsi na Lowasa anasahau kuwa na wanachama wengine pia nao wana mapenzi na watu wengine. Haiwezekani yeye peke yake awe na mapenzi na mtu wake lakini NEC ikiwa na mapenzi na mtu mwingine aliye na mapenzi naye yeye, iwe nongwa.

Huu ni ulevi wa kuaminiwa. Kwa kuwa mara nyingi amekuwa ana aminiwa basi amefika mahali amelewa na kudhani analosema yeye ndiyo sahihi kuliko mtu mwingine yeyote ndani ya chama. Ni ulevi tu, hakuna uchambuzi wowote wa maana. Hata katika maelezo yake ameshindwa kunukuu hata kanuni moja ya chama inayosema NEC itawsilisha majina mangapi mbele ya Halmashauri kuu. Amesema Kamati kuu itaandaa agenda za kikao cha Halmashauri Kuu, lakini hajasema itaandaa namna gani.

Kingunge amekithiri hata hatii tena mamlaka iliyowekwa kihalali na chama. Kamati kuu ni chombo chenye mamlaka ndani ya chama, Kingunge siyo msimamizi wa chombo hicho anapata wapi mamlaka ya kukisimamia tena kwa sababu tu mpambe wake ameenguliwa.

Kingunge anasahau kuwa kama ana mapenzi binafsi basi ana conflict of interest na uchambuzi wake hauko huru unafungwa na mapenzi yake kwa Lowasa. Maoni yanayoheshimiwa katika uimwengu wa wasomi ni yale yanayotolewa na mtu huru ie neutral and not biased kama alivyo Kingunge.
Mnao mdharau Mzee Kingunge hamjui kitu na mpo kama bendera fuata upepo! Kingunge ni mzee makini sana na mnaofurahia jambo hili mtakuja jutia siku moja!
 
Ni watia nia wote 33 hawakutendewa haki... So ni muhimu nao wakatoka hadharani kuyaeleza yaliyowasibu. WanaCCM wangependa sana kusikia kauli zao.
Pia na wale wajumbe wengine 29 wa CC wathibitishe ukiukwaji wa Katiba yao kama wenzao walivyojitokeza kulaan ukiukwaji wa Katiba.
 
Wacha kututisha. Kingunge amesema alivyosema kama vile kijana wa ukawa. CCM ina utaratibu wake wa kusema kwenye vikao rasmi vya chama. CCM haisemi barabarani kama vijan wa ukawa.

Akasemee kwenye vikao gani,hivyo vikao vya CC vinavyolalamikiwa kutekwa nyara na Mtu mmoja/KITENGO au vikao gani unavyoviongelea wewe?
 
leo nimemsikia kingunge akiendeleza siasa zake za makundi na uchochezi ndani ya ccm,baada ya kusikia haya nimejiuliza maswali yafuatayo,

1, kauri ya kingunge ni kauri ya wazee wa ccm wote au yeye amejitoa kwenye kundi la wazee wa ccm na kuanza kuishambulia ccm?
2, je kauri hizi anazozitoa kwasasa zinaitajika katika kukijenga chama chake?
3, kati ya wagombea wato 38,kwanini anaona mmoja ndo alikuwa bora kuriko wengine?
4, je anajua kuwa kauri mbiu ya wanasema ya dodoma yalibaki dodoma,
5, je anatwambia sisi tumsaidie nini kwanini asiende kwenye vikao vya chama?
6, je kauri zake zinaijenga ccm au zinaibomoa ?
7, je anajua kuwa nawengine walikuwa na watu wao na walikuwa wanawapenda lkn baada ya maamuzi ya chama wamekaa kumia?
8, je kwanini anaonyesha dharau za waziwazi kwa wagombea wengine?

Mimi binafsi namuona kama mzee wa hovyo kabisa ambaye kwa sasa na umri wake angejikita katika kukijenga chama na kuondoa makundi badala ya kuendekeza siasa za makindi ambazo zimekuwa zikiibomoa ccm tangu mwaka 1995.

Namshauri akae kimia kama hana cha kuongea awe mzee wa busara achunge kauri zake zinazoashilia uchochezi ndani ya ccm na kama anakitu ambacho anaona anaweza kukishauri chama chake aende kwenye vikao vya chama maana sijawai kuzikia hata wazee wa vyama vingine waeleza mambo ya chama kwenye vyombo ya habari,
 
Kwa hiyo kingunge anataka kutuambia magufuli hakustahili hapo alipo ila lowasa,huyu mzee full kigeugeu anafikiri watu bado wana akili za enzi hizo chama kimoja,anataka kucheza na akili za watu,anazeeka vibaya,watu wamebadilika si mangombe kama anafikiri yeye,kipindi cha yes sir kilishapita,tunachuja na kufuatilia ukweli,anapoomba chama kikae kwa ajili ya maridhiano na lowasa,huo muda hakuna,basi angesema chama kikae na wale wote walioenguliwa kabla ya best five,anaposema makundi yameisha mbona kundi lake na lowasa linaonekana bado wanakinyongo na kutaka urais,wanafikiri walipokuwa wanatudanganya eti lowasa hana kinyongo watu walishajua anapretend akiingia atasababisha nchi isitawalike
 
leo nimemsikia kingunge akiendeleza siasa zake za makundi na uchochezi ndani ya ccm,baada ya kusikia haya nimejiuliza maswali yafuatayo,

1, [/color]kauri[/red] ya kingunge ni kauri ya wazee wa ccm wote au yeye amejitoa kwenye kundi la wazee wa ccm na kuanza kuishambulia ccm?
2, je kauri hizi anazozitoa kwasasa zinaitajika katika kukijenga chama chake?
3, kati ya wagombea wato 38,kwanini anaona mmoja ndo alikuwa bora kuriko wengine?
4, je anajua kuwa kauri mbiu ya wanasema ya dodoma yalibaki dodoma,
5, je anatwambia sisi tumsaidie nini kwanini asiende kwenye vikao vya chama?
6, je kauri zake zinaijenga ccm au zinaibomoa ?
7, je anajua kuwa nawengine walikuwa na watu wao na walikuwa wanawapenda lkn baada ya maamuzi ya chama wamekaa kumia?
8, je kwanini anaonyesha dharau za waziwazi kwa wagombea wengine?

Mimi binafsi namuona kama mzee wa hovyo kabisa ambaye kwa sasa na umri wake agejikita katika kukijenga chama na kuondoa makundi badala ya kuendekeza siasa za makindi ambazo zimekuwa zikiibomoa ccm tangu mwaka 1995.

Namshauri akae kimia kama hana cha kuongea awe mzee wa busara achunge kauri zake zinazoashilia uchochezi ndani ya ccm.

kauli na sio KAURI
 
Swala la kutekwa na mtu mmoja ni kosa la wjumbe wenyewe kutaka kujipendekeza kwa mkulu, lakini mfumo una ruhusu kukosoa na kukosolewa. Ushindi wa Magufuli ni ushahidi tosha kuwa wajumbe wa kikao chochote wanaweza kwenda kinyume na matakwa ya mtu mmoja au Kitengo. Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa chama, ulipoona mkulu anataka kutoa upendeleo kwa Asha Rose Miiro au mdogo wake Membe wakaamua kumchagua John Pombe Magufuli ambaye hakuwalengwa wake. Hapo ndipo utakapojua kuwa CCM ni taassi siyo mtu
Akasemee kwenye vikao gani,hivyo vikao vya CC vinavyolalamikiwa kutekwa nyara na Mtu mmoja/KITENGO au vikao gani unavyoviongelea wewe?
 
tunamuombea kwa mungu lowasa apate maisha marefu ila haki yake ataipata kwa namna nyingine
 
Back
Top Bottom