Huyu Mzee hajawa mnafiki Kama wengi wanafiki wasiopenda Ukweli , kaamua kuanika ukweli japo anajua utawauma sana wale waliopindisha utaratibu na kufanya mambo kienyeji kisha kulazimisha watu wawaamini kuwa ni watenda Haki , Ukweli utabakia kuwa ukweli Hata Kama Mzee kingunge ataandamwa vipi ukweli utabakia hivyo hivyo ingawa ukweli unauma sana badala ya uongo ambao umeumiza wengi pia.