Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Ukiachilia mbali mahaba ya Kingunge kwa Lowassa na sababu zake za utetezi ambazo sizo at least kwa dhana aliyojengewa mgombea wake na kushindwa kujitofautisha yeye mwenyewe ndio kabisa; wachina wanamsemo wao bora ukae kimya wakufikirie mpumbavu, kuliko kufungua mdomo wako na kuwthibitishia upumbafu wako. Timu ya Lowassa kuelekea uchaguzi ndio imetufanya wengi kukubali tuhuma zinazotolewa juu yake, binafsi nimeshangaa kuona Karamagi bado anaingia NEC.

Having said that bado hoja yake ya mchakato ulivyoenda ndivyo-sivyo inabaki ni ya msingi sana ndani ya chama chao na inabidi wakae wafikirie wakikutana wanasawazisha vipi kwenda mbele. Kanuni na sheria zipo kwa sababu ya maelekezo ya ufanyaji mambo na uwezi badilisha kwa manufaa yako things dont work that way or else utazua migogoro tu na watu wa nje kuwaombea hiyo migogoro ijitokeze kwa faida yao.

Hakuna kipindi kigumu kwenye chama chochote cha siasa duniani kama wakati wa kubadili leadership ya juu, kazi yote ya kamati ya maadili, sijui whips huko dunia zingine wanavyoitana ni kuhakikisha chama kinabaki salama kipindi kama hiki maana makundi ayakosekani.

CCM mbona kasheshe lake dogo sana kipindi hiki kulinganisha na migogoro inayozuka China tofauti yao na CCM labda wao wakishaamua huyu ndio wetu kama ukileta ukaidi awasubiri muda wa kuchagua kiongozi ufike uyumbishe chama chenye wanachama zaidi ya millino saba hiyo kamati yao ya maadili inaanza na wewe kabla awajafikia hatua hizo.

Lowassa na Apson nawafananisha na 'Bo Xilai' ambaye alikuwa ni challenger 'Xi Jinping' na 'Zou Yongkang' ex spy no suprises kwa sababu ya utawala wa vyama vya kijamaa. Na issue ni hii hii Sura ya chama jamaa walivyoleta ukaidi wala hakuna haja ya kukatana wakijua wanasupport ya wanachama wanaweza leta migogoro 'Bo Xilai' anaozea jela sasa hivi na mkewe ana suspended death sentences; huyo wausalaa walimvutia muda na yeye sasa hivi lupango makosa yao ushahid wa ufisadi wa zamani.

Chama akiwezi tishiwa nyau na makada wake ndio maana kuna kamati za maadili ambazo kazi yake ni kuhakikisha wanachama wanaowania nafasi za juu wanasifa sahihi na vision sahihi na kuna muda mrefu sana wakufikia hatua za kufikirwa kutokana na groomed procedure na mafanikio yako sio tu kwenye kufanya kazi bali uwezo wako wa kukiunganisha chama na wanachama wakisema huyu ni kuwa ana tick all the boxes sio tu hana makundi ndani ya chama.

Huu mchakato uligubikwa na majungu, poor succession planning ambayo aijulikani nani anafaa kwa sifa zipi kutokana na mahitaji ya watanzania na kukijenga chama, binafsi nina mashaka sana na uwezo wa Magufuli kama raisi nilitegemea zaidi ya uchapakazi bali vision pia.

In short the whole thing and several part machines needs services na Kingunge anaposema muundo wa chama umewekwa majaribuni nakubaliana naye kabisa. Way forward ni kuacha kufanya vitu kwa mazoea tu ya kuendesha nchi na previlege za usalama walizonazo hila CCM inabidi ijipange upya na iangalie safu yake ikibidi watu kama kina Wilson Mkama warudi tu kama awapo kwa sasa bado skills zao zinahitajika na kupanga safu mpya yenye mawazo mapya kwa sasa hawa watu wengi wafanya maamuzi na strategists are weak na namna alivyoenguliwa Lowassa sio ingawa end justifies the means that the only justification of the their wrong doings.
nakubaliana na almost maelezo yako yote isipokuwa hapo kwenye red. ni kweli sheria na kanuni zipo kwa ajili ya kutoa mwongozo katika jambo fulani. Lakini hivi unajua si mara ya kawnza ccm kuvunja sheria na kanuni, at the expenses ya maslahi mapana ya nchi, kwa maslahi yake? unajua ccm inavoibaga kura na kupindisha kanuni kupitia Tume ya uchaguzi, kupitia polisi nk? unajua ccm ilivovuruga na kunajisi katiba ya wananchi? nakuuliza unajua ccm unajua ccm?!!...

hicho kizee mbona hakikukemea kuwa sheria na kanuni zinakiukwa wakati ccm ikiwa inavunja sheria na taratibu nyingi tu dhidi ya watu ambao si wanaccm au vyama mbadala? ccm imekuwa ikitumia hadi mahakama kururuga kanuni na sheria. hiyo ccm unayosema ijirekebishe siku za usoni una maana gani? kuwa ijerekebishe kutokuchezeana rafu yenyewe kwa yenyewe tu au pia yenyewe dhidi ya wapinzani na wasio wanaccm? haki ni kwa wanaccm tu na sisi wengine ni mang'ombe siyo?

Hiki kizee Kinajitokeza tu kimaslahi wakati uvunjaji huo wa kanuni umekuwa dhidi ya chenyewe?!! ni kweli sheria na kanuni zipo lakini zinapaswa kuwa msomeno, zikate kotekote. haka kazee hatukaaamini kuwa kanatetea kanuni, ni kwamba kanatetea maslahi binafsi kwa sababu kana upande tiyari na mbaya zaidi kamechagua upande wa wezi na mafisadi. hAKATETEI MASLAHI YA NCHI KWA WANANCHI WOTE, KANATETEA KUNDI.

he should go and jump into the sea. akajifie kuleee atuachie nchi vijana tuijenge. his time is over. Kwanza hakana tena heshima yoyote wala moral authority ya kuzungumzia masuala mapana ya nchi. Tuna kina Warioba na Butiku...wanatosha.
 
Mzee huyu anataka kutuchagulia kiongozi,mbona wengine waliokatwa hawasemi? Kwanini yeye ang'ang'anie kwa lowasa tu? Hawa wengine siyo watu? Mzee kingunge anajiharibia heshima yake na uzee wake.
 
Yes alikatwa mmoja,
wengine walmsindikiza huyo mmoja aliekatwa koz walijua tangu mwanzo wakati wanachukua fomu kuwa wasingeweza kushinda.
Una swali lingine mkuu?
hizi ni dharau sasa. ndo maana fisadi wenu amafekewa mbali. mngekuja kuwadharau sana watanzania, hasa wale wasio na kipato, kama mngeachiwa. mlistahili kufyekwa.
 
Huyu kibogoyo aende zake,yeye kwake ilikuwa sahihi kuanza kampeni za EL kabla ya muda au anavyosimamia biashara ya nganda ya mwanae ni haki aache kutapatapa mtu wake kishakatwa amshawishi aende ACT au TADEA akagombee urais
 
Mzee huyu anataka kutuchagulia kiongozi,mbona wengine waliokatwa hawasemi? Kwanini yeye ang'ang'anie kwa lowasa tu? Hawa wengine siyo watu? Mzee kingunge anajiharibia heshima yake na uzee wake.

Kavuta mkuu kama walivyovuta wengine.
Namshauri huyu mzee atulie asituchange kabisa, huyu aliyemchuna KAKATWA kakatwa kabisa
 
Alikuwa wapi asiongee wakati wa mchakato kule Chimwaga, aje kuongea baada ya Magufuli kuteuliwa?

Hana lolote. Mnafiki tu.

Ukweli hauna mda maalum na wala hana Nia ya kutaka mchakato uludiwe yeye kawafunua kuwa kilichotokea na kufanyika si kile ambacho wengi wanakifikiria , Unafiki haupo hapo kwani Kama angekuwa Mnafiki asingesema Ukweli angekaa kiimya milele.
 
Anataka kuuza jina magazetini,watanzania wa sasa wanaangalia uchapakazi siyo jina la mtu.i think tumsamehe huyu mzee hajui atendalo.
 
Anataka kuuza jina magazetini,watanzania wa sasa wanaangalia uchapakazi siyo jina la mtu.i think tumsamehe huyu mzee hajui atendalo.

Hajuia Antendalo kivipi ? Kwani kusema kweli ni Dhambi? Wenye Akili zao wanajua Ukweli sasa upo wazi , Tatizo la watanzania wengi ni kupenda Uongo kuliko Ukweli ndiyo maana wasema uongo huonekana bora kuliko wasema Ukweli. Sasa kingunge kaanika ukweli atapata maadui wengi sana na huenda akaundiwa zengwe pia .
 
Kwanini utumie gharama kubwa kiasi hicho kuomba uongozi,kama una dhamira ya dhati kweli kulikua na ulazima gani kutumia pesa zote hizo angerudisha kwa mfumo upi? Watanzania tuna macho na akili za kupambanua mambo si wakati wa kudhihakiwa sasa,uongozi pia lazima kuwe na mshindi na washindwa si lazima wote wawe viongozi.kijiti watapokezana muda ukifika.Tanzania ni moja na inatupasa watanzania pia tuwe wamoja kwa msitakabali wa nchi yetu.
 
ivi ni lazima lowasa ndio awe raisi wa Tanzania? kwanini mapovu yanawatoka kwa ajili ya Lowasa tu? mbona wengine wamekaa kimya? ivi mmesahau hkuwa hata kikwete alifanyiwa ivi na alaikubali matokeao? huyu babu anazeeka vibaya na vijisenti anavopewa vinamchanganya sana. yampasa kuwa mshauri na sio kuwa sehemu ya makundi yanayo kitafuna chama. hakuna mtu mwenye hati miliki ya tanzania na wala Lowasa hakuzaliwa ili awe raisi wa wa tanzania.
Kingunge hamtetei Lowasa peke yake kawatetea wote na mchakato mwingine ulivyokwenda , wengine si kwamba walikubali matokeo bali wamekuwa wanafiki sana , wanalalamika chini chini kimya kimya , wanaogopa kuweka wazi wasije wakazikosa nafasi za Vyeo kwenye Serikali ya magufuli , ni Unafiki pekee umewatawala lakini moyoni wamefurahia Kingunge kuweka Ukweli .
 
Kwanini utumie gharama kubwa kiasi hicho kuomba uongozi,kama una dhamira ya dhati kweli kulikua na ulazima gani kutumia pesa zote hizo angerudisha kwa mfumo upi? Watanzania tuna macho na akili za kupambanua mambo si wakati wa kudhihakiwa sasa,uongozi pia lazima kuwe na mshindi na washindwa si lazima wote wawe viongozi.kijiti watapokezana muda ukifika.Tanzania ni moja na inatupasa watanzania pia tuwe wamoja kwa msitakabali wa nchi yetu.
Lowasa hakutumia pesa nyingi Bali wapenzi na wafuasi wake walijitolea na si kwamba walimkopesha wanataka awerejeshee wao walimchangia Kama Obama alivyochangiwa kule USA , kusema Ukweli Kwa kingunge hakuhusiani na mambo mengineyo ya Lowasa , Ukweli utabakia kuwa Ukweli mchakato ulibugikwa na magumashi wenye Akili wamejua lakini wabishi wataendelea kumwamini Nape na Goli lake la mkono
 
Huyo mzee ni mnafiki. Ametumwa. Huwezi pinga utaratibu wa mfumo kwa kumsafisha mtu. Kwanini leo. inamaanisha huyo mzee alikuwa hajui kuwa lowasa ni msafi mpaka alipokatwa!? atuambie amepokea shngapi. Anazeeka vibaya sana huyo mzee.
 
Namheshimu sana mzee Kingunge ila napenda kumjulisha ya kuwa CCM itashinda hata bila Lowasa na wale wote mliokuwa mnamshabikia huyomtu mlifuata pesa zake ambazo watanzania tulidhulumiwa.

Kama kweli unampenda bora umshauri akae kimya hivyohivyo au mshauri ahamie chama kingine uone kama atadumu kwenye siasa
 
Namheshimu sana mzee Kingunge ila napenda kumjulisha ya kuwa CCM itashinda hata bila Lowasa na wale wote mliokuwa mnamshabikia huyomtu mlifuata pesa zake ambazo watanzania tulidhulumiwa.

Kama kweli unampenda bora umshauri akae kimya hivyohivyo au mshauri ahamie chama kingine uone kama atadumu kwenye siasa

Huu uzi nao unataka tuchangie nini?.... Kuna nyuzi kama 19 humu ndani za Kingunge, hauna jipya...
 
Namheshimu sana mzee Kingunge ila napenda kumjulisha ya kuwa CCM itashinda hata bila Lowasa na wale wote mliokuwa mnamshabikia huyomtu mlifuata pesa zake ambazo watanzania tulidhulumiwa.

Kama kweli unampenda bora umshauri akae kimya hivyohivyo au mshauri ahamie chama kingine uone kama atadumu kwenye siasa

Povu lote la nini?
 
Namheshimu sana mzee Kingunge ila napenda kumjulisha ya kuwa CCM itashinda hata bila Lowasa na wale wote mliokuwa mnamshabikia huyomtu mlifuata pesa zake ambazo watanzania tulidhulumiwa.

Kama kweli unampenda bora umshauri akae kimya hivyohivyo au mshauri ahamie chama kingine uone kama atadumu kwenye siasa

Mbona umekuja na new Id?

Mwaka huu labda mshinde kwa bao la mkono ,na hatutokubali kitawaka tu
 
kwanini Lowassa mwenyewe asiyazungumze hayo? mzee tafadhali tulia umalize wakati wako kwa usalama na sio kuendelea kutengeneza mipasuko itakayokuja kuwaathiri watoto na wajukuu wako wa taifa ili
 
Maandishi yako yooootee hayawez kuondoa ukweli wa alichokisema mzee Kingunge. Hayo mambo ya kiimla ya China hayatuhusu hapa kwetu. Sisi tuna sheria zetu tofauti na za China. China ukila rushwa unatwangwa risasi, hapa kwetu unafungwa, fine au hata kudunda mitaani. Hivyo hayo mambo ya Kichina hayatuhusu, ukweli wa mzee Kingunge hakuna hata mmoja ataweza kuukanusha. Mzee huyu anakuwa mtu wa Tano katika watu waliopinga mchakato ulivyoendeshwa:-
1.Dr Nchimbi
2.Mama Sophie Simba
3.Kimbisa
4.Dr Kakokola
5.Mzee Kingunge

Watu hawa wote hawawez kuwa waongo!
Aindoi similarities zilizopo baina ya hivyo vyama viwili kwenye umuhimu wa sura ya chama na kuangalia integrity ya mwanachama anaye gombea anasura gani kwenye jamii na kama ndio mtu anaefaa kushika uongozi wa chama kama kinavyojinadi.

Uwezi kutembea na watu wenye kila aina ya kashfa halafu utake kuwa kiongozi wa chama ambacho kinapinga aina ya watu hao the 'iron law of oligarch' will apply from the party elites of the time iwe wanajiita CC kama CCM au Pelitrubo Committee ya China.

Anyway argument yangu ni kwamba kutokana na support aliyokuwa nayo Lowassa ndani ya chama na kuachwa mpaka wakati wa uchaguzi wa ndani ilikuwa makosa na matokeo yake kutolewa kwa kuvunja kanuni ili kuzuia support yake na democracy processes za chama sio njia sahihi na hapa nakubaliana na argument ya Kingunge 'dont shoot the messenger' alichokisema ni ukweli mchungu wa uvunjifu wa taratibu kufikia malengo ambayo yanaweza onekana sio sahihi kwa supporters wa mwanachama aliye enguliwa.

Kwa hivyo wala sishangai watu kutoka hadharani na kupinga kwa kile kilichotokea kwa sababu kushinda uchaguzi wa ndani ya chama chochote cha siasa lazima uwe na support on all levels of party structure kuelekea uchaguzi, kwa hivyo kama waliamini hafai walikuwa na muda mrefu sana wakuimaliza safari yake prior to changing of guards procedure na kutumia mbinu chafu zinazo vunja taratibu kama waliyoifanya Dodoma sivyo watu wanavyofanya.

Ndio maana leo usikii watu wakilalama kukatwa kwa Nyalandu au Kingwang'ala kwa sababu they just dint have that internal support hila kukiwa na mgombea mwenye support to ensure mambo kama haya ayatokei its simple badala ya kusubiri uchaguzi na uvunje kanuni, peleka ushahidi wa tuhuma mtoe kwenye mbio mapema ndio watu wanavyoendesha vyama vya siasa nchi zilizoendelea na kuzuia mipasuko hizi ndio sababu sisi waafrika tunaishia kuvuruga mataifa yetu kwa kufanya mambo kiholela holela.

cc moshdar
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom