Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Naamini Akina Pinda ,Membe,Sita ,Muhongo etc walipigwa kinyama chini tena kutolewa ktk stage ambayo waliotolewa wanahesabika kwamba hawana maadili ya kutosha ..watatumia huu mwanya mkomoa magufuli kwa kujificha ktk dhana kwamba Lowasa ndie shida.Ila ukweli sidhani km Pinda,Sitta,Magufuli,Membe ,Muhongo,mahige ,Masha wanaridhika kwamba agufuli kawapiga bao,au ndie mwenye nidhamu na wao hawan anidhamu kabisa..wakati walikuwa akijichukulia kwamba wanaheshimika sana.
 
Naamini Akina Pinda ,Membe,Sita ,Muhongo etc walipigwa kinyama chini tena kutolewa ktk stage ambayo waliotolewa wanahesabika kwamba hawana maadili ya kutosha ..watatumia huu mwanya mkomoa magufuli kwa kujificha ktk dhana kwamba Lowasa ndie shida.Ila ukweli sidhani km Pinda,Sitta,Magufuli,Membe ,Muhongo,mahige ,Masha wanaridhika kwamba magufuli kawapiga bao,au ndie mwenye nidhamu na wao hawan anidhamu kabisa..wakati walikuwa akijichukulia kwamba wanaheshimika sana.
 
Yaani cha kushangaza ni kuwa kamati ya maadili iliwapelekea CC majina 5 kamili.

Kwa kuwa CC walikuwa wanatakiwa kupeleka majina hayo hayo 5 kamili kwenda NEC, na kwa kuwa CC walipokea majina 5 kamili toka kamati ya maadili.

Hiyo tafsiri yake ni kama kamati ya maadili iliwapiga redundancy ya nguvu
wajumbe wa CC.
 
Yaani cha kushangaza ni kuwa kamati ya maadili iliwapelekea CC majina 5 kamili.

Kwa kuwa CC walikuwa wanatakiwa kupeleka majina hayo hayo 5 kamili kwenda NEC, na kwa kuwa CC walipokea majina 5 kamili toka kamati ya maadili.

Hiyo tafsiri yake ni kama kamati ya maadili iliwapiga redundancy ya nguvu
wajumbe wa CC.

Halafu kamati ya maadili ina "wakata" Makamu wa Raisi & Waziri Mkuu ila inampitisha Naibu Waziri!!! Hivi hawa wanajisikiaje sasa wanapolazimika kufanya shughuli za kiserekali?? Nafikiri kujiuzulu kungewaletea heshima zaidi kuliko kuendelea kung'ang'ania madaraka ambayo hayathaminiwi hata na aliyewateua! Kwa sasa Baraza la Mawaziri halijavunjwa, je, Pinda atakuwa na moral authority ya kumkemea/kosoa/elekeza Naibu Waziri Makamba??? Only possible in Tanzania!
 
Hawa watu wanaongea uchafu tu hawana point na tuwaangalie sana ndio wapoteza amani wa nnchi hawa mnataka nnchi muiendeshe kwenye mtandao,mh john pombe magufuli ndiye mwenyewe 100%:thumbup::thumbup:
 
Mkuu maadili yatakuwa CCM? Ni kamati ya wahuni iliyofanya uhuni wao.

Yaani cha kushangaza ni kuwa kamati ya maadili iliwapelekea CC majina 5 kamili.

Kwa kuwa CC walikuwa wanatakiwa kupeleka majina hayo hayo 5 kamili kwenda NEC, na kwa kuwa CC walipokea majina 5 kamili toka kamati ya maadili.

Hiyo tafsiri yake ni kama kamati ya maadili iliwapiga redundancy ya nguvu
wajumbe wa CC.
 
Halafu kamati ya maadili ina "wakata" Makamu wa Raisi & Waziri Mkuu ila inampitisha Naibu Waziri!!! Hivi hawa wanajisikiaje sasa wanapolazimika kufanya shughuli za kiserekali?? Nafikiri kujiuzulu kungewaletea heshima zaidi kuliko kuendelea kung'ang'ania madaraka ambayo hayathaminiwi hata na aliyewateua! Kwa sasa Baraza la Mawaziri halijavunjwa, je, Pinda atakuwa na moral authority ya kumkemea/kosoa/elekeza Naibu Waziri Makamba??? Only possible in Tanzania!
umejiuliza Pinda mbaye hana Legacy atapataje Legacy bila mchefua boss wake magufuli ambaye anakwenda kuwa mwenyekiti soon?
 
Hawa watu wanaongea uchafu tu hawana point na tuwaangalie sana ndio wapoteza amani wa nnchi hawa mnataka nnchi muiendeshe kwenye mtandao,mh john pombe magufuli ndiye mwenyewe 100%:thumbup::thumbup:
Mgufuli mwenyewe hajathubutu ku thumb up
 
Maridhiano baada ya mchakato ni hila za kutaka kutumiana baada ya ku abyusiana. Ni sawa na Sita kutaka maridhiano na ukawa baada ya kutoa li rasimu ili tu kwamba Ukawa waliunge mkono.

Mitafarku walioona tangu mwanzo. Ukiukwaji wa taratibu waliouona hata kabla ya kuanza kwa mchakato. Kama ndivyo walitakiwa wadhibiti hali ile kama kuziba ufa badala ya kuacha nyumba imeanguka sasa wanaanza kujenga ukuta.

Kwa sasa waitane waombane misamaha bila unafiki ili wakubaliane kumpa aliyewazidi kete na waliopoteza milele wakubali wamepoteza.

Lakini sidhani kama ccm itasimama tena kwa sababu Kakobe alishatamka na neno like halirudi bure!.

CCM ni chama IMARA bado hakijaanguka uamuz waliouchukua CCM ni km kumuweka JMnyika asimame kwenye Urais Je, wanaweza?
 
Kuna mwingine hata pale White House kiti chake kilikuwa wazi! Huyu aliamua kubaki nyumbani kwa hasira!
 
Kitendo alichofanyiwa lowassa hakivumiliki.
Haha..bahati mbaya sana Lowasa naweza kuwa ndie anayevuta hisia..ambao wameshaanza iadhibu ccm ni wengi sana ktk wale wakabila walioamini kaskazini itakatwa au kujion akuwa walifanana zaidi na ikulu...Sijui Membe,Masha,Pinda, Muhongo ,mwigulu na wengine waliokuwa wanamwona Magufuli kuwa inferior halfu wakamalizwa ktk kamati ya maadili yaani wao ndio hawana maadili....hawa jamaa watavizia kupiga bao iwezekanavyoa huku wakijificha nyuma ya Lowasa...stay tuned.CCM wakijaamka watajikuta wanakimbizan na lowasa huku issue zinaharibika sana.
 
haa haa hao wanaridhiana nini?au wanaridhiana baadae wagawane vyeo? ili waendelee kutuibia? ni ngumu sana kupata mabadiliko ya kweli ndani ya ccm...
 
Upuuzi mtupu maridhiano na mafisadi??magufuli hata agombee kama mgombea binafsi angeshinda uchaguzi
 
Chama kuhitaji maridhiano jambo la kawaida.
Tofauti na miaka mingine mwaka huu wagombea walikuwa wengi na ulikuwa mchuano wa aina yake.
Kuna ubaya gani baada ya purukushani zote zile watu kukaa chini na kupatana?
 
Hata wangeshindana wawili mtu ni mmoja tu ambaye angepata na huenda maridhiano yangetakuwa kufanyika. Hivi ni vitu vya kawaida kufanya kwa maslahi ya chama
 
Pinda, Bilal, Agustino na wengine wanaumia sana bora hata mmoja wao angepita top five
 
Hawa watu wanaongea uchafu tu hawana point na tuwaangalie sana ndio wapoteza amani wa nnchi hawa mnataka nnchi muiendeshe kwenye mtandao,mh john pombe magufuli ndiye mwenyewe 100%:thumbup::thumbup:

Waridhiane kwani wamegombana ama wanataka wote wapitishwe wagombee?
 
Back
Top Bottom