Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Mtu wake kakatwa na pesa amekula Mzee wa watu! Ha ha ha

Wote 38 wanalalamika isipokuwa wenyewe ni Wanafiki wakubwa sana wanalalamika chini chini Kwa kuhofia kukosa Vyeo kwenye Serikali ya magufuli , Mzee kingunge yeye kaamua kutokuwa Mnafiki ndiyo maana kaamua kumwaga radhi .
 

Ndugu yangu umesahau kuna swala la marupurupu yao ya kustaafu. Sasa inabidi kwa siku zilizobaki watumikie ------ ------ wapate mradi.
 
Huyu mzee sasa apumzike tuu,aache uroporpo wake,kamenganganiaaaaa....hiv vizee vingine bana
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaa mnawashwa mtashindwa na mtalegea boriti liwaingie. Majibu ya serikali za mitaa ni hatua ya kwanza ya ushindi na inafuatia uchaguzi mkuu. Kuliko kura yangu iende kwa chama kinachomilikiwa na wachaga bora nimpigie mbwa. Kafieni mbele huko. Tingatinga linakuja halibakizi kitu. Babu yenu kafikia mwisho na mwambieni kabisa makengeza ajiandae kubadilisha katiba au mwenyekiti wa milele
 
Wana jamvi poleni na majukumu,

Kuna ule msemo unaosema mfadhili mbwa lakini binadamu, nimeamini huu usemi ni wa kweli CCM ili mfadhili mzee Kingunge kumpatia tenda kubwa ya kukusanya ushuru pale Ubungo na ushuru wa parking za magari Dar es salaam yote kupitia kampuni yake na NATIONAL PARKING SERVICES-NPS.

Lakini pamoja na fadhila zote sasa anakisambaratisha chama kisa swahiba wake kukatwa na kamati kuu pale Dodoma, nafikri mzee amelewa tunaomba CCM itangaze tenda tena ili akashike adabu na atambue CCM ndiyo mpango mzima yeye kuishi bongo.
 
Huyu mzee sasa apumzike tuu,aache uroporpo wake,kamenganganiaaaaa....hiv vizee vingine bana

Mzee kapumzika tayari hana mda tena wa kuhangaika na magumashi ya ccm , yeye kaamua kuanika Ukweli hakutaka kapumzika na Unafiki Kama kamati ya maadili , kasema Ukweli na siku zote Ukweli Tanzania huwa unauma sana kuliko Uongo ni tofauti na Nchi zingine ambapo waongo , longolongo, magumashi vinachukiwa sana , Mzee kingunge kasema Ukweli lakini cha Ajabu wapo watu wanamkejeli !
 

Huu ubaguzi wako wa chadema una uhusiano gani na kamati ya maadili ? Hapa tunazungumzia mapungufu ya mchujo wa mgombea Urais kupitia ccm , huyo tingatinga Safari hii atalima juu wa mawe hata Kama atashinda itakuwa ni Kwa mbinde sana.
 
Ni Tanzania pekee Hakuna Nchi yeyote Duniani Msema Ukweli hupingwa na kumkejeli . Wasema Ukweli hapa Nchini ni maadui wa wale wanaopenda magumashi , ndiyo maana watangaza Nia wengine 37 wameamua kuwa Wanafiki Kwa kukaa kimya wakinung'unika chini chini kimya kimya wanaogopa kumuudhi magufuli asije akawanyima vyeo.ukweli utabakia Ukweli licha ya wanafiki kuwa wengi saana
 
Wanafiki oyee.... Nchi hii ni number one Kwa Unafiki Duniani Hata yakitokea mashindano ya unafiki nina imani Tanzania itazoa medali nyingi na wale watangaza Nia 37 wazatoa medali za dhahabu zote.
 
Ili kuondoa machungu ya moyoni lazima aseme, bora yeye kasema kilichomkera kuliko kuwa mnafiki na kushangilia huku roho inauma. Hongera mzee Kingunge
 
Upeo duni sana huu.
Akipewa mtanzania fadhila, akipewa mzungu ndio halali.
 
Ili kuondoa machungu ya moyoni lazima aseme, bora yeye kasema kilichomkera kuliko kuwa mnafiki na kushangilia huku roho inauma. Hongera mzee Kingunge

Mfumo wa unafiki umelelewa,ukapaliliwa,ukatiwa mbolea na mwaasisi wa taifa letu.Mavuno ndio hayo.Walitukuzwa wale waliounga mkono hata bila kutambua,na walisurubiwa wale waliokuwa na maono.Ukipanda bangi usitegemee kuvuna mchicha.Maadamu sasa tunao wahitimu wa unafiki kwa ngazi ya PHD tutegemee kwanza mkanyagano mbaya sana katika chama chao na hata mapinduzi ya uongozi ndani ya CCM.CCM ikibidi kubomoka itabomolewa na wenyewe kwa muda mfupi sana.
 
Unakuja hapa unasema waziwazi jinsi hawa mafisidi waccm wanavyolipana fadhila kwa kuwatumia wananchi wewe ukiwa mmoja wao au wewe uko kwenye kundi la kulipwa fadhila?

Akili zako zina akili kweli? Kwa nini usifikirie maslahi ya Tanzania kwanza kabla ya kufikiria kusambaratika kwa chama tena chama ambacho hakina msaada kwa mtanzania wa kawaida. Ndio maana viongozi mandezi mnaowachagua kila siku wanashindwa kuwachukulia majambazi wa kawaida hatua achilila mbali mafisadi wa mabilioni kisa wanalipa fadhila.

 

Pole,kwanza hakuna kabila la WACHAGGA.Kama unamaana watu waishia KILIMANJARO basi kuna WAPARE,WAGWENO,WAUSANGI,WAMARANGU,WAKIBOSHO,WAKIRUA,WAMACHAME,WAROMBO,WAMASAI,WAMERU,WASIHA.Haya ndiyo makabila yapatikanayo Mkoa wa Kilimnajaro............Period.Hilo lingine limetungwa na MaCCM
 

Baada ya Kuteuliwa Makufuli bado wako wamoja...................:A S-confused1::A S-confused1::flame::flame::flame:
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…