aliisaac1000
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 407
- 272
Mzee akajipumzikie, maskini alinyanganywa kwanza parking system ya DSM then wakamnyanganya ya ubungo, lowassa angemrudishia zote!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makubwa haya, sasa ni dhahiri CCM vipande vipande.
Sasa aone utamu wa kuvuruga taratibu na mchakato.
Kingunge ulishiriki kuvuruga mchakato wa katiba pendekezwa... Sasa usilalamike, muosha uoshwa.
Mzee anatapatapa, asome alama za nyakati, wenzie hiyo chapter imeshafungwa ndio maana Sophia Simba alishiriki mapokezi ya John Magufuli.
Mnao mdharau Mzee Kingunge hamjui kitu na mpo kama bendera fuata upepo! Kingunge ni mzee makini sana na mnaofurahia jambo hili mtakuja jutia siku moja!
Hata Kingunge mwenyewe ni batili. Mtu gani haamini wala biblia takatifu wala Quran tukufu. Tunajua kwa nini anashabikia hiyo kambi sababu ni kwamba mwanaye Kinjekitile ni msafirisha madawa ya kulevya mkubwa. Na katika wagombea ambao wangemsaidia wasimkamate mwanae ni Lowassa tu kwa sababu naye ni Fisadi.
Mzee akajipumzikie, maskini alinyanganywa kwanza parking system ya DSM then wakamnyanganya ya ubungo, lowassa angemrudishia zote!
Hivi alikatwa mtu mmoja tu au zaidi ya watu 30??????
Sasa aone utamu wa kuvuruga taratibu na mchakato.
Kingunge ulishiriki kuvuruga mchakato wa katiba pendekezwa... Sasa usilalamike, muosha uoshwa.