kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Mbona hao kina Nchimbi, Kimbisa na Sophia wamesema wameridhia na kumkubali Bw. Magufuli? Kama utaratibu uliharibiwa kwanini wamtambue mgombea aliyepatikana kwenye utaratibu mbovu?
Navuta harufu ya unafiki hapa.
Navuta harufu ya unafiki hapa.