mkerewe halisi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 299
- 152
Kingunge anasahau kamati iliyomchinja lowassa ndio iliyomchinja malecela akiwa makamu mwenyekiti wa chama taifa na yeye kingunge hakupaza sauti kumlilia!
Kinachoonekana sasa ni mbinu mbadala ya kundi LA mafisadi wanaomzunguka lowasa kutaka wasisahaulike kwenye utawala mpya
Pia kasahau kutuambia yeye na mwalimu walitumia busara gani kumfunika lowassa!
Hoja za msingi kabisa