Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kwenye hatua ya kwanza huwa hamna kupiga kura majina yote yanachukuliwa na kuangaliwa moja baada ya jingine na wale wote wenye tabia mbovu mbovu na ambao Tume ya maadili inaona hawafai huwa majina yao hayarudi, wale ambao majina yanarudi ndio hupigiwa kura sasa, nilivyoelewa mimi!

Siyo kweli,kamati ya maadili haina mamlaka ya kuchuja majina isipokuwa inafanya tathmini ya kila mgombea na inapeleka taarifa yake kwenye Kamati kuu,wenye mamlaka ya Kukata majina ni Kamati Kuu.Kilichofanyika Dodoma ni Kamati ua Maadili kujitwisha jukumu la Kamati kuu ambalo si sawa,na hapa ndio point ya Mzee Kingunge ilipo.
 
Wewe mzee wetu, tunakuheshimu sana sana. Ndio maana tunakaa kimya. Lakini wagombea walikuwa 38. Mmoja tu, uliyemnadi kwa nguvu sana, kaenguliwa. Mbona Waziri Mkuu hasemi? Makamu wa Rais halalamiki? n.k . Wewe ulishaonyesha bias. Na hilo linakunyima consiousness ya kuyasema haya. Wewe nyamaza, usikivuruge chama. Unataka watu tuandamane? Kwa lipi?

Mawazo yako ni hafifu sana,ni kama akina Kingunge huko miaka iliyopita. Alicho zungumzia Kingunge leo ni ukweli ambao wana CCM wanatakiwa kuja dili na kuhakikisha miaka ijayo hawafanyi uhuni wa aina hiyo.
 
Wewe mzee wetu, tunakuheshimu sana sana. Ndio maana tunakaa kimya. Lakini wagombea walikuwa 38. Mmoja tu, uliyemnadi kwa nguvu sana, kaenguliwa. Mbona Waziri Mkuu hasemi? Makamu wa Rais halalamiki? n.k . Wewe ulishaonyesha bias. Na hilo linakunyima consiousness ya kuyasema haya. Wewe nyamaza, usikivuruge chama. Unataka watu tuandamane? Kwa lipi?

Wote walichukua form ili kurahisisha ukatwaji wa lowassa...wala hawakuutaka urais...walifanya hivyo ili lowassa akilalamika wanachi waseme kama ulivyosema ww...
 
mmeona wenyewe huu ndio wakati wa kung'oa nduli ccm, kumbe inabambika watu umagamba kumbe ndiye iliowabandikwa kwa super glue
 
Siyo kweli,kamati ya maadili haina mamlaka ya kuchuja majina isipokuwa inafanya tathmini ya kila mgombea na inapeleka taarifa yake kwenye Kamati kuu,wenye mamlaka ya Kukata majina ni Kamati Kuu.Kilichofanyika Dodoma ni Kamati ua Maadili kujitwisha jukumu la Kamati kuu ambalo si sawa,na hapa ndio point ya Mzee Kingunge ilipo.

Nakuunga mkono kwa nyongeza kwamba Kikwete akitambua atafail ktk CC kupitisha wagombea wake,aliamua kuingia na ujanja huo wa kizamani. Naweza thibitisha kwamba huo mchezo umewatumbukiza ktk uhasama zaidi yaa kabla ya uteuzi.
 
Nakuunga mkono ngombale mwilu, ccm wamekiuka natural justice
 
Wote walichukua form ili kurahisisha ukatwaji wa lowassa...wala hawakuutaka urais...walifanya hivyo ili lowassa akilalamika wanachi waseme kama ulivyosema ww...
kwa hivyo mlitaka Lowassa ndiye pekee atie nia? Watu wengine wasioneshe nia ili awe mtia nia pekee! Mapenzi yakizidi hugeuka kuwa chachu.
 
Hivi mnafikiri wazee wa ccm hawakusoma upepo mapema!?? wanajua saana kwamba ukawa walikua wanasubiri lowasa apitishwe ili ccm iangukie pua! maamuzi waliyoyafanya ni kuokoa chama huyo EL lazima angeleta mgawanyiko mkubwa tofauti na hali ilivyo hivi sasa! ccm imepata nguvu kiasi kwamba mpaka ukawa kumekuwa na kigugumizi nani wamsimamishe...!
 
kwa hivyo mlitaka Lowassa ndiye pekee atie nia? Watu wengine wasioneshe nia ili awe mtia nia pekee! Mapenzi yakizidi hugeuka kuwa chachu.

Huko ugambani hamna democracy... ni mizengwe tu..
 
Nakuunga mkono ngombale mwilu, ccm wamekiuka natural justice
Ni lini na wapi CCM iliwahi kuzingatia haki, taratibu, katiba, nk. Always magoli ya mkono. Katiba pandikizi ni mojawapo ya ushahidi wa goli la mkono la chichiemu. Ila kwa vile Kingunge ameonjeshwa hilo goli ndio anajitokeza kulalama. Mkuki kwa nguruwe.
 
Nimeanza kuhisi kitu kwa lowassa.
Hiko kitu kitatatimia endapo Lowassa atasema kila kitu.
 
Simama uhesabiwe...!!

Toa lako la moyoni kuliko kuugulia moyoni ukijifanya umefurahi kumbe Unaumia ndani kwa ndani. Hongera Mzee Kingunge kwa kuweka Record sawa. Nawadharau sana Madabida, Sofia Simba na Msukuma. Hawa ni bendera fuata upepo, walikiwa kwa Lowassa kwa kuvizia vyeo, alipotoswa nao wakamtosa..!!

Hongera sana Mzee Kingunge, Heshima yako itabaki kwa Lowassa daima dumu.

BACK TANGANYIKA
 
Wewe mzee wetu, tunakuheshimu sana sana. Ndio maana tunakaa kimya. Lakini wagombea walikuwa 38. Mmoja tu, uliyemnadi kwa nguvu sana, kaenguliwa. Mbona Waziri Mkuu hasemi? Makamu wa Rais halalamiki? n.k . Wewe ulishaonyesha bias. Na hilo linakunyima consiousness ya kuyasema haya. Wewe nyamaza, usikivuruge chama. Unataka watu tuandamane? Kwa lipi?
Mzee alipewa pesa nyingi sana na Lowasa ili amsaidie kwahiyo hizi kelele analipa fadhila za pesa alizokula aibu yake huyu mzee mjinga sana.
 
Mfumo wa ccm ni mbovu na Dr wao kila akifanya dili akishtukiwa huwa anakimbia nje na kwanza anatunga tukio kama la juzi ili kupoteza watanzania kisha anakimbia haibu.sasa yuko swiss.
swissme
Haya Lowassa kaja CHADEMA mchukueni na Kingunge Ngombale Mwiru mwanachama wa CCM mwanzilishi Kadi yake ni No, 8
Lakini CCM nzima ilimuogopa kwa undumila kuwili ndio maana ikawatoa Wazee wote ndani ya CC
wakaundiawa Kamati yao nje ya CC na NEC na papo hapo wakamtosa Lowassa wakawapachika Mwigulu na Meghji
Jiulize na Tafakari kwa nini anapiga kelele wenzake wakiwa ndani wanakula vinono?
Kingunge shangaa Baba kwenye wazee wa busara waliomchinja Lowassa hukuwemo lakini St Gasper umeshinda na kulala hapo siku 12 mpaka hela ikakamatwa
 
Daa huyu Mzee anazidi kudhalilika kabisaa yaani..looh. Si angenyamaza tu yameshaisha..Mzee kama wewe unakuwa na makundi kweli umeishiwa kabisaa.
 
Huyu mzee hana aibu kabisa! uso umemkakamaa kama anakula siment. Hivi Nyerere angekuwa hai angeweza kuropoka ujinga huu kweli!? Anakomaa kum quote Marehemu Karume kwa ajili ya Lowasa kwenye hoja isiyomuhusu! Vizee kama hivi vina asili ya uchawi tu.
 
.... Huyu mzee namhurumia. Ccm watamrushia kitu chenye ncha kali
 
Back
Top Bottom