samweli mwandelema
Senior Member
- Feb 17, 2014
- 117
- 41
Hizo tetesi zako nafikiri uko ndotoniTaarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
MCCNdugu wewe ukiwa CCM na..January Makamba....atakuwa nani
wewe vipi!.. hiyo habari umesikia wapi? wanarudi wapi wakati ndio majipu ndani ya ccm bahati nzuri yakageuka nyumbu kufuata malisho.Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
lakini walifuata malisho kwa eddy. walijua ccm inashindwa.Wale ni watu wanao jitambua hivyo hawawezi kurudi kwenye nyumba inayo nuka rushwa
Ndio hivyo sasa wapo cdmlakini walifuata malisho kwa eddy. walijua ccm inashindwa.
Nimeipenda sana hiiHawawezi kurudi.
Wale ndio wazee wangu waliobaki. Wachache walio na msimamo.
Wanastahili tuzu.Sio kina Wrioba,ppol pole ambao wanafikiri hakuna maisha nje ya kijani
Kasha bugia kimpumu kinampelekeshaHizo tetesi zako nafikiri uko ndotoni
Hahahahahaha...nimecheka sana hilo neno JALALA.Warudi wamesahau nini kwenye hilo jalala?Au upo ndotoni
Taarifa zilizopatikana wapi? Na mwingine naye akija humu na taarifa zake za wao kutorudi CCM itakuwaje?Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
Msafisha viatu wa JMNdugu wewe ukiwa CCM na..January Makamba....atakuwa nani
Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
CCM wapokeeni tu, kwani nafasi za kusafisha maliwato hapo Lumumba hazipo?Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.