Tetesi: Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM

Tetesi: Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM

Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.

Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.

We dont need them.
Hizo tetesi zako nafikiri uko ndotoni
 
Spinning Dictors.......na UDA ni ya nani....????audited report ilitaja majina ya wakurugenzi....???
 
...tabia ya kipuuzi sana,unajitungia stori,unaleta huku halafu unaiita tetesi.
 
Hawawezi kurudi.
Wale ndio wazee wangu waliobaki. Wachache walio na msimamo.
Wanastahili tuzu.Sio kina Wrioba,ppol pole ambao wanafikiri hakuna maisha nje ya kijani
 
Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.

Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.

We dont need them.
wewe vipi!.. hiyo habari umesikia wapi? wanarudi wapi wakati ndio majipu ndani ya ccm bahati nzuri yakageuka nyumbu kufuata malisho.
 
Hawawezi kurudi.
Wale ndio wazee wangu waliobaki. Wachache walio na msimamo.
Wanastahili tuzu.Sio kina Wrioba,ppol pole ambao wanafikiri hakuna maisha nje ya kijani
Nimeipenda sana hii
 
Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.

Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.

We dont need them.
Taarifa zilizopatikana wapi? Na mwingine naye akija humu na taarifa zake za wao kutorudi CCM itakuwaje?
 
Warudi kufanya nini kwenye chama cha mafisadi
 
Hawana njaa kama wewe,kwanza wewe ni mtoto wa mama yaani kula kulala,hujui hata bei ya chumvi.
 
Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.

Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.

We dont need them.
Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.

Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.

We dont need them.
CCM wapokeeni tu, kwani nafasi za kusafisha maliwato hapo Lumumba hazipo?
 
Back
Top Bottom