Nao Wana miilii ya nyama.Si ajabu jamaa wamefunga na mlango kabisa pale salenda ili wananchi wasije kukimbilia ndani, iliwahi kutokea pale buguruni, jamaa wanamwaga njugu, polisi wakakimbilia ndani ya kituo na kufunga milango, watalaamu walipotokomea, wao ndo wanafungua milango na kujifanya wapi busy kuandaa magari kuwafukuza
Pili hawana vifaa vya kujikinga na risasi aina zote