Nao Wana miilii ya nyama.Si ajabu jamaa wamefunga na mlango kabisa pale salenda ili wananchi wasije kukimbilia ndani, iliwahi kutokea pale buguruni, jamaa wanamwaga njugu, polisi wakakimbilia ndani ya kituo na kufunga milango, watalaamu walipotokomea, wao ndo wanafungua milango na kujifanya wapi busy kuandaa magari kuwafukuza
Narudi kwa target aliopigwa,mpigaji ni mjuzi wa shabaha .risasi moja ya kichwa tena naisi imepigwa na mtu aliekua juu.NDUGU ISIKIE TU HIO KITU INAITWA SMG -1954pale hamna u-sniper wowote, yani mtu kasimama mwenyewe ktkt ya barabara ananyoosha mkono juu apigwe
Mbona hakuna tofauti Kati ya gaidi na jambaziSerikali yetu ina hamu sana ya kupata magaidi. Yawezekana polisi wetu wamepata mafunzo mengi ya kupambana na magaidi halafu magaidi hawatokei. Hivyo inabidi wapate hata wa kutengenezwa. Akina Mbowe wakiacha kudai katiba, akina Gwajima na akina Jerry eatageuzwa kuwa magaidi.
wanataka kutuaminisha kwamba MEKO aliweza kudhibiti uhalifu.. ila me naona hii ni DRAMA tuHii itakuwa dharau wanavamia mchana kabisa
alafu jamaa alishaamua kusimama mwenyewe na machine akaiacha inaning'inia kifuani, wangemchapa tu miguu ili wajue alichokuwa amekusudia.Alionesha ujasiri nadhani ilifaa kumjeruhi ili atoe maelezo zaidi
... umeona mbali. Hawakawii kusema huyu ni mnufaika wa zile laki 6 na mhusika kafa kwenye "tukio"! Watch out, kuna movie inatengenezwa.Tukio hili tulitazame mara mbili mbili.
Kwa maelezo ya waliokuwepoo jamaa alikua anatamka hataki kudilii na raia anataka askari tu...kauwa traffic kadhaaa
Video inaonyesha jamaa aliye mtwanga akitokea nyuma yake.Narudi kwa target aliopigwa,mpigaji ni mjuzi wa shabaha .risasi moja ya kichwa tena naisi imepigwa na mtu aliekua juu.NDUGU ISIKIE TU HIO KITU INAITWA SMG -1954
Duh kumbe alishawalamba wawiliWatatu wauawa katika majibizano ya risasi
Mtu mmoja asiyejulikana ameuawa baada ya kuwaua askari wawili katika majibizano ya rissi mkoani Dar es salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Simon Sirro, amewaambia Waandishi wa habari kuwa tukio hilo limetokea katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi.
Mkuu ladyfurahia a Salam kwako. Stanbic Bank unayoongelea ni hiyo pembezoni mwa barabara inayotokea Mwananyamala karibu na mataa Mashuhuri kama mataa ya Ubalozini? Kama jibu ni Ndiyo basi kuna uwezekano wa hao wahalifu walibadili mkakati kwani Askari waliifunga hiyo njia asubuhi kwa karibu masaa mawili.NDIO HIYO HIYO KAMA UNAELEKEA MJINI HAPO UBALOZIINI
Usijari mkuu.nipigie kura mkuu kwenye bandiko langu liko story of change inasema ondoa hofu
Tupia ka video mkuukuna video yupo kwenye kibanda cha police vile barabarani anarushiana risasi na police, huku kwenye magroup kuna video nyingi sana
sirro ajue kuwa ugaidi sio kuwa na laki sita kupanga kuweka miti barabaraniWatatu wauawa katika majibizano ya risasi
Mtu mmoja asiyejulikana ameuawa baada ya kuwaua askari wawili katika majibizano ya rissi mkoani Dar es salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Simon Sirro, amewaambia Waandishi wa habari kuwa tukio hilo limetokea katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi.