Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Aisee.
Sijui kwa nini hili tukio limenikumbusha lile la askari waliouawa huko temeke na watu wasiojulikana na kufuatia jingine kwa askari kuuawa huko pori la wapi sijui iliposemekana kuna nyumba inaaminiwa ina magaidi.
Matukio haya yalitokea wakati wa vugu vugu la maandamano yaliyotangazwa na chadema ya UKUTA.
Poleni ndugu za wafiwa na RIP marehemu wote
 
Wewe utakuwa ni mccm. Na siasa za chuki zimekuingia vilivyo. Chuki dhidi ya principal muslim, hao uliowataja ni culture Muslim ambao wameathiriwa zaidi na imani ya kijamaa kuliko ya kiislam.

Tukio hili ni la kihalifu kama Uhalifu mwengine. Kunasibisha na ugaidi, tena wa waislam ni ujinga wa km sisiem tu ulionao.
 
nawapongeza sana Askari wetu kwa kazi nzuri.
nashauri Msako ufanyike nyumba kwa nyumba Hoteli kwa hoteli, bar kwa bar.
Majambazi tunaishi nao ktk maeneo yetu mitaa yetu, mahoteleni n.k.
Polisi wetu tunawaomba kamwe msilale. Badilisheni mbinu.
Majambazi sio wakuwachekea washa moto tu, pigeni risasi hawa watu wafe wote.
wasakeni hata wakiwa shimoni.
 
Hili gaidi kuua askari wawili ni uzembe wa askari... limezunguka muda mrefu, askari walikuwa wapi?

mkuu ni vyema tu uendelee kuwa unaangalia movie na kuziacha huko huko sebuleni.

neno"uzembe"kuna baadhi ya kazi halifai kuwekwa.either litapwaya au litabana kwenye maana yake.

wakati askari akifikiri namna bora ya kutatua changamoto zinazokukabiri ukiwa na mkeo na wanao,gaidi anapiga mahesabu ya kummaliza askari.shukuru hakuamua kuwageukia raia wengine.
 
Naanza kuunganisha dots kuwa uenda ni tukio la kupangwa ili kuandaa mazingira ya kuzuia makongamano ya katiba yaliyopangwa na CHADEMA.

Kwa suala la CHADEMA hawa policcm wanaweza fanya lolote baada ya excuse ya covid19 kuonekana imefeli.
 
Hapo mwisho umeamua kumalizia kisomali ki warrior kabisa?
Leo nimekuwa msomali baada ya awali kuniita mzanzibari mmakunduchi ?!!!

Yaani mkuu hujui maana ya "KEDI"?!! Khaa 😲😲😲

Kiswahili cha kawaida na kisicho lahaja za huko usemako......

Mkuu Brazaj banaa naamini wewe huna OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDER!! 🤣

#KaziIendelee
#SiempreJMT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…