OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mbowe gaidi? nadhani gaidi mnamuona leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio vitu vya kuombea hivyo,Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania.
Wewe kama nani...Na wewe pia nitakujulisha uripoti sehemu ya karibu
Ngoja tupate sababu za mshambuliaji kufanya unyama wake ndio tutajua cha kufanyaUNAYAONGELEAJE HAYA MAUAJI YA POLISI WETU DADA NINI KIFANYIKE KUZUIA YASITOKEE TENA?
Sio vitu vya kuombea hivyo,
Kama unahitaji Shari za namna iyo hamia uko somalia
Ndio utajua sasa.Wewe kama nani...
Tazama kamera kwanini unainamisha inamisha kichwa! (huku akimpiga piga kwenye mabega) 😀"Kijana mzuri, mnene lakini unakua gaidi" in Muroto voice.
UPDATES:Pumbafu kabisa lieua askari wetu wawili, hili wangelikamata wakalinyoa ndevu kwanza, halafu minya pumbu mpaka aseme nani kamtuma, pumbafff
Ktk simu yake kutatoa kila kitu kikubwa picha yake imeonekana vizuriInavoonekana Ni kitambulisho Cha mtandaoni Kama vile vya nida.
Ila format yake haiko Kama ya nida.
Tunapaswa tujue Ni taasisi gani inatoa I'd zenye maelezo Kama hayo
Imagine angeamua kumimina kwenye zile gari leo tungezika watu 500Very stupidity.
Mtu mwema akiipigania haki ya wananchi wanamwita gaidi.
Haya sasa huyo gaidi rasmi katuma salamu.
Hatujui wako wangapi?
Silaha kapata wapi?
Katumwa na nani?
Kuna haja viongozi wa Kiafrika wapimwe akili.
Askari wetu wamekufa wao wanasiasa wanaendelea kupitishiwa menu kila asubuhi
That's not well done for the Police Force.Well done polisi
[emoji23][emoji23][emoji23]nmeikuta mahaliInstagram anatumia jina gani?
Na Twitter?
We pimbi hivi unajua Intelijensia hua inafanya kazi kirahisi kwenye matukio ambayo ni planned!Duh hata maana ya intelijensia hujui?!
Ndugu yangu ukiona hivyo ujue jamaa ana hasira sana na Askari hivyo anafurahia kudunguliwa kwa hao Askari, Kweli Askari wanatusaidia sana kutulinda lkn shida inakuja pale wanapowaonea raia wanyonge km vile kuwabambikizia kesi,kuwakamata bila kosa maalumu kisha kuwaweka ndani, halafu kutoka hadi walipe pesa ambayo haina risiti Halafu wanagawana wenyewe.Hata Mimi kusema ukweli huwa ninawachukia Sana tena sana hawa Askari wetu.mkuu ni vyema tu uendelee kuwa unaangalia movie na kuziacha huko huko sebuleni.
neno"uzembe"kuna baadhi ya kazi halifai kuwekwa.either litapwaya au litabana kwenye maana yake.
wakati askari akifikiri namna bora ya kutatua changamoto zinazokukabiri ukiwa na mkeo na wanao,gaidi anaiga mahesabu ya kummaliza askari.shukuru hakuamua kuwageukia raia wengine.
Leo nimekuwa msomali baada ya awali kuniita mzanzibari mmakunduchi ?!!!
Yaani mkuu hujui maana ya "KEDI"?!! Khaa 😲😲😲
Kiswahili cha kawaida na kisicho lahaja za huko usemako......
Mkuu Brazaj banaa naamini wewe huna OBESSIVE COMPULSIVE DISORDER!! 🤣
#KaziIendelee
#SiempreJMT
Kwenye hiyo picha lilimuangalia camera man.Askali Ni watatu[emoji116]View attachment 1907976
Mzee wa kipigo Cha mbwa koko[emoji4]Tazama kamera kwanini unainamisha inamisha kichwa! (huku akimpiga piga kwenye mabega) [emoji3]