DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Vipi Kwa sisi tuliojaribu kutuma pesa?Jiandae kuunganishwa na marehemu maana namba zote zilizopo kwenye simu yake na zile zinazoingia zitafuatiliwa kwa umakini mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Kwa sisi tuliojaribu kutuma pesa?Jiandae kuunganishwa na marehemu maana namba zote zilizopo kwenye simu yake na zile zinazoingia zitafuatiliwa kwa umakini mkubwa
Kwenye system za CTU unaonekana miongoni mwa wafadhili wa ugaidi umejaribu kuchangia buku kwenye account ya gaid SWAT wanakuhusu mkuu ni bora tu utorokeNilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
Na wewe pia nitakujulisha uripoti sehemu ya karibuMkuu usifanye mchezo, usije wekwa kwenye list...
Muamala haukukamilika lakini[emoji848]Kwenye system za CTU unaonekana miongoni mwa wafadhili wa ugaidi umejaribu kuchangia buku kwenye account ya gaid SWAT wanakuhusu mkuu ni bora tu utoroke
Je una dhamini gaidi?Vipi Kwa sisi tuliojaribu kutuma pesa?
umejuaje kuwa ni Dada? inabidi ufungiweDADA
Katafute maana ya Retailer code na retailer namesasa bwana huyu ni Hamza au Ado? mana ukitaka kutuma pesa jina linakuja Ado, Kitambulisho Hamza which is which???
Kama hujatuma kweli hamna shidaVipi Kwa sisi tuliojaribu kutuma pesa?
Mkuu nimeangalia video ya yule askari aliyeuwa kuna makosa mengi kayafanya utafikiri hana mafunzo kabisa
Sijatuma, nilitest kuchek usajili Kisha nikaquitKama hujatuma kweli hamna shida
Hapo hamna tatizo... Walioipiga hiyo namba na waliotuma humo chochote wajiandae kwa msururu wa matatizoSijatuma, nilitest kuchek usajili Kisha nikaquit
Hili tukio lingependeza sana kama huyo jamaa angewafyekelea mbali mapolisi wa ccm hata 50 hivi, sijui alikwama wapi tu.nawapongeza sana Askari wetu kwa kazi nzuri.
nashauri Msako ufanyike nyumba kwa nyumba Hoteli kwa hoteli, bar kwa bar.
Majambazi tunaishi nao ktk maeneo yetu mitaa yetu, mahoteleni n.k.
Polisi wetu tunawaomba kamwe msilale. Badilisheni mbinu.
Majambazi sio wakuwachekea washa moto tu, pigeni risasi hawa watu wafe wote.
wasakeni hata wakiwa shimoni.
Utaunganishwa na wewe shauri zakoNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Usirudie tena hili kosa mkuu... kwa mfano ukahojiwa utasemaje!??Nimeipigia hio namba yake inaita tuu