Mbunge Wa Kitaa
Senior Member
- May 25, 2014
- 122
- 118
Inabidi kuangalia historia ya afya yake ya akili pia.
Kua serious mkuu[emoji848]Dah...miye nimempigia kapokea mbona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Mwishowe uambiwe we ni mwenzie ulitaka kujua amefanikiwaje.Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Nimtumie marehemu pesa ili nigundue Nini hasa, na upepo wenyewe huu unaouona[emoji38]Sasa mbona uliyejaribu kumtumia pesa ni retailer na sio marehemu?
Tazama namba ya marehemu ipo chini baada ya pichaye...
Nani kakuambia nahitaji kiwanja?Salama kiwanja nimeuza tayari. Endelea mbele vipo.vingine
That's not well done for the Police Force.Well done polisi
Kada wa CCM hebu acha umbeya na ufukunyuku wa kipumbavu! Hivi CHADEMA unawahusishaje na tukio kama hili la kijambazi? Ulishawahi ona wapi mwanachadema anafanya ushennx kama huu?CHADEMA ndio wanataka kutufikusha kwenye vitendo kama hivi, Jeshi la polisi tusimxhekee yeyote ktk suala la amani yetu.
[emoji28]wahuni wakudake una fadhiri ugaidiNilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
Ogopa Sana machafuko mkuu,Watu wanakuchoma kidole kwenye nahiii unasema hewala bwanaa... Mpaka lini? Tunahitaji Wasomali wa kutosha wa kuonyesha hawa wabambikia wenzao kesi. Nani anawahurumia hao washenzi. Utakuwa mshenzi mwenzao basi.
Usipende kushabikia maafa kwa nchi yako kwasababu ya Mambo fulani usiyoyapenda yafanyikayo,ebu fikiria wale watu waliouawa mtwara wamembambikia yeyote kesi?Watu wanakuchoma kidole kwenye nahiii unasema hewala bwanaa... Mpaka lini? Tunahitaji Wasomali wa kutosha wa kuonyesha hawa wabambikia wenzao kesi. Nani anawahurumia hao washenzi. Utakuwa mshenzi mwenzao basi.
Daaa wabongo noma washafungua na acc Twitter [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]nmeikuta mahaliView attachment 1907993
Kukishachafuka hapa sidhan Kama hata nafasi ya kuandika izo shombo zako itapatikanaWatu wanakuchoma kidole kwenye nahiii unasema hewala bwanaa... Mpaka lini? Tunahitaji Wasomali wa kutosha wa kuonyesha hawa wabambikia wenzao kesi. Nani anawahurumia hao washenzi. Utakuwa mshenzi mwenzao basi.
Ajiandae kisaikolojia aisee,
Yajayo yanasikitisha sana kwake mpaka kwa familia yake[emoji848]
Kweli tupu mkuu,siyo ajabu yeye hajawahi bambikiwa kesi yoyote.Ogopa Sana machafuko mkuu,
Hata Libya na Iraq walikua Kama wewe.
Ila kwa Sasa wanajuta Sana.
AMANI YETU LAZIMA ILINDWE KWA GHARAMA YOYOTE ILE
infantry soldier angekuwa msaada mzuri ila yuko likizoNasubiri wataalamu wa intelligencia hapa jf waje watudadavulie
Wazee was parody wako fasta kwa Kasi ya kimondo[emoji23]Daaa wabongo noma washafungua na acc Twitter [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
acha uzembe namba hiyo juu hapo! iyo uliyoweka ni wakala aliyemsajiliNilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
ππππππ watanzania jamani[emoji23][emoji23][emoji23]nmeikuta mahaliView attachment 1907993
Askari wametufedhehesha....π€¦π½ββοΈπ€¦π½ββοΈ
tunafahamu kuwa Chadema nia yao ni kuchafua amani na utulivu wa nchi yetu, lkn kamwe vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara na madhubuti.Hili tukio lingependeza sana kama huyo jamaa angewafyekelea mbali mapolisi wa ccm hata 50 hivi, sijui alikwama wapi tu.