Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 952
- 1,267
Kama watalibani kwanza usingeandika pili ungekuwa uko chooni unatafuta choo ,pengine hiyo ni moky tu ya polisi juzi kati kenya wamefanya na wao wanaiga tu .Kwenye shaba atakwenda vile usichezee iyo kitu.Au wataliban
Wazee wa kazi wameshammaliza.Uyo mwamba kakamata zeze anatamba namna hii maeneo hayo na bado yupo hai?
vyombo vya usalama mpka sasa hivi havijamdhibiti?? Kwanza inaonekana ni mtu mwenye matatizo yake ya kiakili. Hana madhara makubwa
Sure, sio mzima huyuvyombo vya usalama mpka sasa hivi havijamdhibiti?? Kwanza inaonekana ni mtu mwenye matatizo yake ya kiakili. Hana madhara makubwa
Nchi hii ikipatwa na ugaidi kama wanavyoimba kila siku wanautaka tutapata tabu sana. Hata nusu ya uwezo ule wa kenya hatuna.uonevu wa mbowe uishe hiyo nguvu ihangaike na watu kama hawa, hawa ndo magaidi sasa
[emoji28][emoji28],bado yupo hai na anatamba mbele na nyuma,Polisi waende ili akawagawanye vipande vipandeHuyu ni nani? Bado yuko hai?
Wakitokea uni dip namba yangu ni 099888812Yaani pale mtu anatembea na bunduki na anamwaga risasi zote hizo still polisi hawajatokea??... Na nisehemu ambayo haiishi dakika tigo hao. Au wamekimbia. Nje tu ya ubalozi hapo naonaga maaskari Leo hawapo?? Kuna kitu hakiko sawa. Maana risasi moja tu ikipigwa salender police wa nasikia imekuwa je Wako kimya
Hana madhara makubwa?vyombo vya usalama mpka sasa hivi havijamdhibiti?? Kwanza inaonekana ni mtu mwenye matatizo yake ya kiakili. Hana madhara makubwa
Umewaza kijasusi[emoji28][emoji28],bado yupo hai na anatamba mbele na nyuma,Polisi waende ili akawagawanye vipande vipande
Na wasipotumia akili huyo anaweza kuwa ni distraction tu ili wajirundike kumbe tukio lenyewe linaenda kupigwa eneo lingine nyeti
mpaka hapo hizo gari zimejaa abiria angekuwa ameshafumua kwa kumimina kama zile alizopigwa TLHana madhara makubwa?
Aibu sana kutamba mtu zaidi ya nusu saaAmeshauwawa tayari