Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Yaani pale mtu anatembea na bunduki na anamwaga risasi zote hizo still polisi hawajatokea??... Na nisehemu ambayo haiishi dakika tigo hao. Au wamekimbia. Nje tu ya ubalozi hapo naonaga maaskari Leo hawapo?? Kuna kitu hakiko sawa. Maana risasi moja tu ikipigwa salender police wa nasikia imekuwa je Wako kimya
 
Wakitokea uni dip namba yangu ni 099888812
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…