The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu ni askari siyo mhalifu naye anamsaka mhalifuNi kweli, kwenye magroup naona video zinatembea sasa risasi zikipigwa hapo Stanbic karibu na Salenda / Ubalozi wa Ufaransa,,,
Naona maombi yao ya Ugaidi yanaanza kujibiwaView attachment 1907597
Hapo Ni Jirani Na Kituo Cha Police SalendaJamaa kwenye video anaonekana kavaa kikofia flani hivi chechefu.
Tunaweza kuwaza nadharia nyingi. Pia inawezekana ni mtu malaria imepanda kichwani akafanya hayo. Baada ya muda tutapata habari kamili.mpaka hapo hizo gari zimejaa abiria angekuwa ameshafumua kwa kumimina kama zile alizopigwa TL
vyombo vya usalama mpka sasa hivi havijamdhibiti?? Kwanza inaonekana ni mtu mwenye matatizo yake ya kiakili. Hana madhara makubwa
Alitaka kufa huku kifo chake kiwe na umaarufu.Huyu jamaa nahisi alikuwa anataka kujiua tu, maana angekuwa na nia ya kufanya ugaidi angeanza na hizo gari za karibu hapo.
Yeye kaua wangapi mrembo wangu?☺️Ameshauwawa tayariView attachment 1907619
Na kwenye kidevu hujangalia kwa makini kafuga mifugo gani?Sijaona. Amevaa nini?
chezea mlio wa chumaMbona kwenye bajaji hamna mtu? Imefikaje fikaje hapo bila mtu[emoji3]
Lete ManenoHali kama imetulia make tumepita tayari
😃😃 We jamaa kuna kitu unakitafuta.Na kwenye kidevu hujangalia kwa makini kafuga mifugo gani?
Ameshauwawa tayariView attachment 1907619
wameshamuuaHapo Ni Jirani Na Kituo Cha Police Salenda
Eneo Hilo Ulinzi Wake Ni Imara Kulikoni Sasa Hivi
Mgonjwa wa akili kashika bunduki,tena kasogea nayo mpaka mitaa nyeti ya balozi na serikali?Huyu jamaa nahisi alikuwa anataka kujiua tu, maana angekuwa na nia ya kufanya ugaidi angeanza na hizo gari za karibu hapo.
Ukifika Dar Free Market Mbele Kidogo Ndiyo Eagle WingsHivi hizo ofisi zipo wapi?