Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasomali buana
Askali walikuwa wa zamani....wakisikia mlio wa lisasi wanacharge....wa leo wanacharge wakijua ni CHADEMA. Kwenye lisasi wanajifichaSi huwa kuna askari muda mwingi hapo kwenye kona ya kuelekea Masaki?
Hata Usalama wa Taifa si mbali sana hapo, kituo cha polisi Selander kipo karibu pia, hapo nyuma nyumba za O'bay kuna wastaafu kadhaa wa JWTZ
Kwa muda aliotumia angetaka kufanya uhalifu angeshafanya. Hawez kupoteza risasi hovyo kwa kupiga piga juu.Mgonjwa wa akili kashika bunduki,tena kasogea nayo mpaka mitaa nyeti ya balozi na serikali?
Mock gani hiyo kwa mfano mtu wa kwenye gari mmojawapo angekuwa na chuma huyo jamaa si angeuliwa.. maana anatembea na silaha kizembeKama watalibani kwanza usingeandika pili ungekuwa uko chooni unatafuta choo ,pengine hiyo ni moky tu ya polisi juzi kati kenya wamefanya na wao wanaiga tu .Kwenye shaba atakwenda vile usichezee iyo kitu.
Umeona silaha aliyokuwa nayo mkononi?Wamekosea kumuua ilitakiwa wahakikishe wanamkamata akiwa hai ili wambane pumbu aseme yote
Mbona kwenye bajaji hamna mtu? Imefikaje fikaje hapo bila mtu[emoji3]
huyu ni askari siyo mhalifu naye anamsaka mhalifu
NoumaSniper ya kichwa, damn!
Polisi wote hao wasingeshindwa wangemtungua kwenye mikono na miguuUmeona silaha aliyokuwa nayo mkononi?
Wale Mashehe wa uamsho walioachiliwa wasije kuwa wameingia kazini
Walipokuwa Ndani Nchi ilitulia
Mkuu mi nilidhani alikua anashambuliana na polisi kumbe alikua anapiga juu!!,?Kwa muda aliotumia angetaka kufanya uhalifu angeshafanya. Hawez kupoteza risasi hovyo kwa kupiga piga juu.