Picha za miili ya polisi ziliianza kurushwa na watu tena humu jamvini lakini mods wamezifutaWe elewa hivi.
Kama mwenyeji wa Dar na njia hio unaijua vema.
Kutoka Sarenda kina mataa hapo ilipo stanbic bank.
Haapo kuna askari polisi wengi sana alitoboaje hadi afike ubalozi wa ufaransa?
Mtu mmoja anbaye hana bullet proof wala helmet anasumbuaje kundi la polisi tena anatembea wima wao wamejificha nyuma ya mguzo[emoji28][emoji28][emoji28]
Tuendelee hao polisi wawili waliouawa kuna aliyewaona?
Mbona baada ya jamaa kuekti kafa wakaja mbio polisi kibao na kuondoka nae bila kutaka watu wapige picha?
Kabisa,Nawaonea huruma washikaji zangu wa kisomali,polisi ndiyo wamepata sababu sasa ya kuwasumbua na kuwatoa mshiko vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23]ili mcheze gemu la kijambazi sio?
Mbona wasap hazitembei lini watz wamekuwa.wastaarabu ivo?Picha za miili ya polisi ziliianza kurushwa na watu tena humu jamvini lakini mods wamezifuta
[emoji23][emoji23][emoji23]ili mcheze gemu la kijambazi sio?
TANZANIA/JF KILA MTU NI MWANA USALAMA. UKISOMA COMMENTS UTACHEKA NYINGINE UTASIKITIKA TU.
NIONAVYO MIMI HUYO MTU NI GAIDI. TENA MAGAIDI WAMEKUJA NA AINA MPYA YA KUFANYA TUKIO KWA KUWALENGA ASKARI TU HASA POLISI.
HII MBINU NI NZURI KWA KUWA MAGAIDI SASA WANAKWENDA KUPATA UUNGWAJI MKONO MKUBWA KUTOKA KWA RAIA. NIMESOMA COMMENTS KWENYE MITANDAO MBALIMBALI WATU WANAMPONGEZA GAIDI KWA KUTOWAGUSA RAIA WA KAWAIDA.
KULE KENYA WET GATE MAGAIDI YALIUA RAIA NDIO MAANA WALIPOTEZA USHAWISHI. HUKU KWETU MAGAIDI HAYAGUSI RAIA ILI TU KUPATA SUPPORT YA NGUVU YA UMMA.
YAJAYO YANAHUZUNISHA SANA.
UPDATES:
Ameuwa polisi watatu pamoja na mlinzi mmoja wa kampuni, pia amejeruhi kadhaa.
Inaelekea walikuwa ambushed.
Kwa hiyo angevaa jezi za CCM ungesemaje. Hivi hao uliowataka ndio taasisi za kutoa haki.....Humu tukionya kuwa hao mashehe wa uamsho Ni magaidi
Humu na mama yenu mkawa mnadai ushahidi uko wapi? Ina Maana Raisi Shein ,Raisi Kikwete na Raisi Magufuli wote walikuwa akili hawana wala ushahidi wa kuwashikilia miaka yote ya utawala wao kiasi kuwa Mama Samia ghafy ageuke kuwa na akili za kuwazidi Marais wote watatu watangulizi wake?
Sasa hao Tena waislamu wenzie wanamuonyeshea kuwa Waislamu wenzio magaidi tupo hewani
Asante kututolea mashehe wetu tuendeleze harakati za kigaidi
Hupendi viungo vyako vya uzazi? Utahojiwa kwa staili mbaya sana. Utafanywa kila aina ya uchafu unaoweza kuufikiria. Hata kulishwa mavi yako mwenyewe inawezekana.Wakikudaka unawaambia ulikuwa unamdai 😂😂
Intelijensia ya Siro haikunusa tukio hili?
Mashindano ya trending...wengine watasema SYSTEM wamepanga tukio zima ili kuwachanganya Watz.
Mbowe kafikaje hapa unatafuta matusi.
Tupia mkuu tuonekuna video yupo kwenye kibanda cha police vile barabarani anarushiana risasi na police, huku kwenye magroup kuna video nyingi sana
Askari anapiga risasi chini .... Wamefedhehesha mno