Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu akatupe laini. Akikamatwa aseme ilipotea zamani. Angalau ataponea ponea.Wanaweza Anza na wewe kwenye msako wa magaidi..shauri yako
Wamchunguze inawezekana ssnaHuyu kijana siyo gaidi, inaonekana alikuwa na frustration zake na serikali.
Kabisa. Yule ni kama kajiua mwenyeweAchana na kwamba wangekua wawili...
Yaani yule yule mmoja angekua serious, angesumbua sanaa, Yule kutoka barabarani na wao ndio kumpiga ni sawa na kajiua mwenyewe,
Na kama umeangalia vzr hata wakati yupo pale katikati ya Barabara tena hafyatui anapiga kifua bado wanamkosa wanapiga Lami...
Wajitafakari,
Lakini kikubwa LimekufaView attachment 1908060
Rais awazunguke polisi atume undercover hata wa nje ya nchi. Anaweza kupata mwanga wa ziada pale polisi watakapokwama.Drama inaweza kutengenezwa ili Amiri jeshi atishwe kuwa nchi si salama.
WakalaRetailer name itakuwa inahusika na nini hapo?
Inatengenezwa na mcheza movie anakubali kufa?!Drama inaweza kutengenezwa ili Amiri jeshi atishwe kuwa nchi si salama.
Unaweza kukamatwa kwa kosa la kufadhili gaidi🐒Nilikua natesti mitambo[emoji4]
Nilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
Mtakamatwa kipimbi kabisa braza,kisa umbea! Mpaka wajue hujahusika tayari mkeo keshaolewa tenaNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Unazani uyo ni Twaha mwaipaya wa chademaWamekosea kumuua ilitakiwa wahakikishe wanamkamata akiwa hai ili wambane pumbu aseme yote
Mi naona alikuwa na shida na polisi tu, angekuwa gaidi tungekuwa tunaongea habari nyingine sasa hivi, pale kwenye bus alikuwa na uwezo wa kuondoka vichwa vingi sanaHuyu ni gaidi period.
Polisi wajitafakari sana
Msako uanze haraka sana mpakani Namanga na vitongoji vyake
Duh, hizi akili nyingine bana, kwa hiyo drama zinatengenezwa jamaa anatishia anaua polisi na yeye anauliwa!!Drama inaweza kutengenezwa ili Amiri jeshi atishwe kuwa nchi si salama.
Bulleted proofed that's whay hakukuwa na optionsPolisi wote hao wasingeshindwa wangemtungua kwenye mikono na miguu
Kavaa baraghashia nafikiri Kuna watu watatafsiri hiyo baraghashia Kama ugaidi.Hao ndio magaidi sasa mliokuwa mkiwalilia
Kwahiyo huyu wa leo alipewa laki ngapi na mbowe?!Mbowe alikuwa anafadhili vitendo kama hivi.
alijificha kwenye chama lkn alikuwa akifadhili mambo kama haya. na huenda mtandao upo, hivyo Jeshi letu la polisi pamoja na vyombo vyote visiwachekee hawa wahuni walio jificha kwenye chama.
hawa ni watu hatari kwa amani yetu, hawana nia njema wanapaswa washughulikiwe kama ilivyo kuwa kipindi cha JPM.
Kaua wa 4 serikali imesema ila kuna audio inasambaa inasema askari wameuawa wengi kidogo sjui kwenye mataa gani traffic lakiniMkuu mi nilidhani alikua anashambuliana na polisi kumbe alikua anapiga juu!!,?
Tena kile cha sunni nouma sana huyo msimamo mkaliKavaa baraghashia nafikiri Kuna watu watatafsiri hiyo baraghashia Kama ugaidi.