kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Acha kuwa mwepesi wa kuhasau ushasahau issue ya kibiti?Tutamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya. Tulilala milango wazi jamani.
Saivi kila mtu arudi kwenye kazi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuwa mwepesi wa kuhasau ushasahau issue ya kibiti?Tutamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya. Tulilala milango wazi jamani.
Saivi kila mtu arudi kwenye kazi yake
Dah mzee unatupiga kamba kweupeBulleted proofed that's whay hakukuwa na options
Huyu ni gaidi period.
Polisi wajitafakari sana
Msako uanze haraka sana mpakani Namanga na vitongoji vyake
I guessWatakwambia katumwa na WeMbo[emoji23]
Hapana, kaka gaidi alipaswa kuwalaza chini mapolisiCCM kama 50 hivi, ili turudi kwenye misingi ya kuheshimiana. CCM na Mapolisi wanatuchezea sana akili.Hili gaidi kuua askari wawili ni uzembe wa askari... limezunguka muda mrefu, askari walikuwa wapi?
Yule alipigwa kati ya mguu au ya paja kufa ni nadra yule. Waliokufa ni waliokuwa kituoni salender baada ya kupata ambushUyo wa 4 atakua ni yule alie enda kindezi na mguu wa kuku bila tahadhar yoyote
Ndugu yangu ukiona hivyo ujue jamaa ana hasira sana na Askari hivyo anafurahia kudunguliwa kwa hao Askari, Kweli Askari wanatusaidia sana kutulinda lkn shida inakuja pale wanapowaonea raia wanyonge km vile kuwabambikizia kesi,kuwakamata bila kosa maalumu kisha kuwaweka ndani, halafu kutoka hadi walipe pesa ambayo haina risiti Halafu wanagawana wenyewe.Hata Mimi kusema ukweli huwa ninawachukia Sana tena sana hawa Askari wetu.
Kuna mengi ya kujadili hapa[emoji116]View attachment 1907954View attachment 1907955
Polisi wetu leo wamedhihirisha pasi na shaka kabisa kwamba ni dhaifu mno.Ukiangalia kwa jicho la mbali kaka gaidi misheni yake kafanikiwa ie kaua polisi 3 na mlinzi wa kampuni binafsi 1 pia kajeruhi polisi 6.
Kapigwa bastola na askari aliyekuwa bank ya stanbic bank ambako kulikuwa na maaskari wakirusha risasi, na yeye kuanza kuelekea zinakotokea hizo na wasingemuwahi angeingia stanbic maana askari aliyekuwa ukuta wa stanbic na aliyemleta ya kichwa angechelewa ingekula kwaoKapigwa na Askari waliokuwa Nyuma ya Daladala. Wali ji cover pale. Wakati kageukia upande mwingine askari wa Nyuma yake wakammaliza. Imeniuma kuona Kaua Askari Watatu na Mlinzi wa SGA mmoja. Yule ana Mafunzo, kwa wale mlio angalia Video zote. Kitendo cha Kujificha kwenye Kipanda Cha Polisi Mwishoni na Kuendeleza Mapambano kimenishitua. Pia kaua Askari. Daaah. Pole kwa Familia zao.
Jamaa alikuja na bastola tu akaua polisi na kuchukua Silaha zote zile toka kwao...!! Inafikirisha sana yani..Jambo moja na la ajabu sana ni hili.
[emoji1484]
-Yule jamaa katoka wapi na siraha zile pasi kushukuliwa?.
-Kuna kitu kimejificha kutokana na tukio hilo?.
-Ametumwa kupima ulinzi wetu ukoje?.
-Kwa nini bakuwa na habari na raia waliokuwa jirani?.
-