Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
Marekani hata kama ikitokea ni LAZIMA watajua ni nani, alitoka wapi na alitaka nini, silaha alipata wapi nk Hapa kwetu sahau kujua chochote kuhusu huyo jamaa ndugu, lazima upigwe fix kwamba alikuwa anadai mafao yake pale ubalozi.
Nenda kaweke mzigo wetu pale kibandani halafu uje chukua mali yako . Kufika kibandani anakuta mbili zipo [emoji24][emoji24]
Uislamu na Ugaidi ni sawa na ukristo na ukafiri kakaHumu tukionya kuwa hao mashehe wa uamsho Ni magaidi
Humu na mama yenu mkawa mnadai ushahidi uko wapi? Ina Maana Raisi Shein ,Raisi Kikwete na Raisi Magufuli wote walikuwa akili hawana wala ushahidi wa kuwashikilia miaka yote ya utawala wao kiasi kuwa Mama Samia ghafy ageuke kuwa na akili za kuwazidi Marais wote watatu watangulizi wake?
Sasa hao Tena waislamu wenzie wanamuonyeshea kuwa Waislamu wenzio magaidi tupo hewani
Asante kututolea mashehe wetu tuendeleze harakati za kigaidi
Huu ni mwanzo tu, kuna mengi ya kuwafurahisha wana CCM yanakuja. Kaeni mkao wa kula tu.tunafahamu kuwa Chadema nia yao ni kuchafua amani na utulivu wa nchi yetu, lkn kamwe vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara na madhubuti.
Na wakamkosaItakua haujaona videos vizuri, risasi zilizopigwa ni nyingi mnoooo kama vile walikua wanamlenga nyuki
Tupia mkuu tuone
Huyu Kipunga ni zinga la KENGE, anataka kuwa present to the "Crime Scene" atatafutwa, kuhojiwa na atabanwa zakari zake aseme hata asiyoyajua. Lol...Usirudie tena hili kosa mkuu... kwa mfano ukahojiwa utasemaje!??
Sema inafikirisha make angekuwa na nia ya kuua raia tungekuwa kwenye msiba mzito...Wenye akili watajiuliza kwanini aue tu polisi lakin asiguse raia?
Wanaweza Anza na wewe kwenye msako wa magaidi..shauri yakoNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Hivi jina ni hilo Salenda kweli?
alafu hawa dawa yao ni ndogo, huwa wanadanganyana kwamba wakifa kigaidi wanakwenda peponi, dawa hatuwaui, unakata miguu, mikono, unamuhasi, halafu unamrudisha kwao, aishi maisha yake yote akijuta.... akijiua juu yake... kingine ni kusaka familia zao, watoto, ndugu, mke, baba , mama halafu wanafungwa... linakuwa fundisho kwa magaidi mengine, likijua litasababisha familia yake iingie matatani anakuwa mpole... kuna kipindi bora uwe mnyama tu....na lenyewe litakuwa sometimes zina charge likaona mateso nitakayopata baada ya hapa ni bora nikauone moto wa akhera tu
Huyu kijana siyo gaidi, inaonekana alikuwa na frustration zake na serikali.Kuna mengi ya kujadili hapa[emoji116]View attachment 1907954View attachment 1907955
Mshana mtaalam wa Picha tupe mawili matatu hapa. Kiroho hii inaitwaje?