Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania. Wasomali ruhusa kuzaa na dada zetu. Milioni 60 wote tuko madada tu hapa.

Chief ni vizuri nawewe ukawa miongoni mwao ..kesho kukicha nawewe fanya tukio tukuone sio muoga na nikatika wale wengi ambao nchi inawahitaji...
 
Ushauri kwa Intelejensia ya Polisi:
1.Mnakumbuka mtandao wa watu wanaovusha "raia kutoka pembe ya afrika"(Halafu tunadaganywa kuwa ni waethiopia"wamekamatwa wakielekea Msumbiji au Afrika Kusini.
2.Wizara ya mambo ya ndani imeshawahi kuomba fedha ya kufunga mashine za "scan" ili raia wa kigeni wanaoingia nchini picha zao zichukuliwe na kuwa kwenye kumbukumbu za Idara ya Uhamiaji??(Leo kazi ingekuwa ndogo, maana tungesoma mfumo wa "data" za wageni walioingia, waliopo na wanatokea wapi na nani ni mwenyeji wao, watakaa nchini kwa muda gani na kwa shughuli ipi?!!).
3.Je?!zile camera za mitaani zilifungwa,zinafuatiliwa zifungwe maeneo muhimu.Maana naiona fedhaa nyingine ,kama ubalozi wa ufaransa na taifa lolote la nje likitoa taarifa ya mtu aliyefanya tukio hili halafu sisi tuishie kusema "uchunguzi" unaendelea.

Nawashauri vyombo vya dola:
1.Chukua picha, twende nchi jirani kwa ajili ya "scan" tujue ametokea wapi, tujipange kushughulika na mtandao wa mhalifu huyu.
2.Mjikumbushe/muwakumbushe wanasiasa/watawala umuhimu wa vyombo vyetu vya dola kuishi kitaaluma zaidi badala ya kuishi kisiasa,matokeo yake kutumika kisiasa na hivyo kupoteza muda wa kulinda maslahi ya taifa, na kukimbizana na raia wanaotafuta haki zao za kikatiba kutoka kwa watawala.
 
Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania. Wasomali ruhusa kuzaa na dada zetu. Milioni 60 wote tuko madada tu hapa.
Si ujitokeze na wewe wakupe ya kichwa!
 
IMG-20210825-WA0015.jpg

Ila Mwamba Alikua ameshiba aisee, yaani hapo watu wazima kama kasimama na katuni
 
Ushauri kwa Intelejensia ya Polisi:
1.Mnakumbuka mtandao wa watu wanaovusha "raia kutoka pembe ya afrika"(Halafu tunadaganywa kuwa ni waethiopia"wamekamatwa wakielekea Msumbiji au Afrika Kusini.
2.Wizara ya mambo ya ndani imeshawahi kuomba fedha ya kufunga mashine za "scan" ili raia wa kigeni wanaoingia nchini picha zao zichukuliwe na kuwa kwenye kumbukumbu za Idara ya Uhamiaji??(Leo kazi ingekuwa ndogo, maana tungesoma mfumo wa "data" za wageni walioingia, waliopo na wanatokea wapi na nani ni mwenyeji wao, watakaa nchini kwa muda gani na kwa shughuli ipi?!!).
3.Je?!zile camera za mitaani zilifungwa,zinafuatiliwa zifungwe maeneo muhimu.Maana naiona fedhaa nyingine ,kama ubalozi wa ufaransa na taifa lolote la nje likitoa taarifa ya mtu aliyefanya tukio hili halafu sisi tuishie kusema "uchunguzi" unaendelea.

Nawashauri vyombo vya dola:
1.Chukua picha, twende nchi jirani kwa ajili ya "scan" tujue ametokea wapi, tujipange kushughulika na mtandao wa mhalifu huyu.
2.Mjikumbushe/muwakumbushe wanasiasa/watawala umuhimu wa vyombo vyetu vya dola kuishi kitaaluma zaidi badala ya kuishi kisiasa,matokeo yake kutumika kisiasa na hivyo kupoteza muda wa kulinda maslahi ya taifa, na kukimbizana na raia wanaotafuta haki zao za kikatiba kutoka kwa watawala.
Mbona imeshajulikana mapema mkuu ni Msomali mtanzania anaishi Fire mkuu!!?
 
Daah kuna watu wapuuzi aah ungekua ndugu yangu wewe mjinga uliyepiga namba ya huyo jamaa ningekukana shuaini kabisa. Kutafuta matatizo kijinga na unakuja kutangaza humu mfyuuuu
 
Kwanini walizuia raia wasiende wakati kila mtu anajua alikuwa peke yake, tena anatembea kibabe akijipiga kifua. Kuna watu washamjua hadi point anayosimamaga. Walivyo wajanja watamhamisha hadi mkoa au kumpangia majukumu mengine.

kwa kufanywa live vile kuzagaa mitandaoni wengi wataamini maan hawajawahi kusikia milio ya risasi karibu kiasi kile
Watanzania wakiwa na akili ndogo kama yako watadedi kama nyumbu
 
Kuna mambo mengi sana ndani ya muda mchache,jamaa angeamua kuichapa ile daladala iliyokuwa karibu yake.
Daah ...
Ila pia Jeshi la Polisi liamke hizo ndizo mission sasa sio kukimbilia jukwaa la katiba asubuhi asubuhi na mabunduki na unakuta mijitu imevaa kininja ninja kuja kubeba watu waliokaa na vitabu.
 
Unawalaumu bure tu!

Wewe ulitaka polisi wangapi ndiyo wapambane naye?

Hao polisi unaowalaumu walikuwa wanajua kila kitu kuhusu hatari iliyokuwepo? Walikuwa wanajua kuna mtu mmoja tu anayehatarisha usalama na hakuna wengine waliojificha sehemu?

This is so ridiculous.
Taratibu za kijeshi ni kwamba huwezi kupeleka kikosi bila kujua uzito au wepesi wa adui.
 
inadaiwa Mbowe aliwarubuni na kuwatumia vijana wafuatao katika matendo ya Kigaidi;
1. HALFANI BWIRE HASSAN
2. ADAM HASSAN KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILAHI LINGWENYA.
Tafakakuri.
 
Back
Top Bottom