Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashajibu huko twitter.Dah...miye nimempigia kapokea mbona 🤣🤣🤣🤭
Yaani anataka kujiingiza matatani kizembe sana au labda anatania tu.Unaweza ingia hatiani mkuu
Wanamuaribia kiki yake manara.Acha kabisaView attachment 1908036
Yaani mtu anafanya mauaji halafu unampigia?!!!Ukiskia difenda imepaki mlangoni kwako usishangae. Watakuuliza tu mmejuana vipi?
usipende kujaribu vitu visivyo na msingi...wakikutafuta wanausalama unadhani ukiwaambia kuwa ulikuwa unaijaribu tu watakuelewa...?Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Kampigia hayatiYaani mtu anafanya mauaji halafu unampigia?!!!
usipende kujaribu vitu visivyo na msingi...wakikutafuta wanausalama unadhani ukiwaambia kuwa ulikuwa unaijaribu tu watakuelewa...?Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Namba ya simu iko juu wewe umeenda kuweka retailer msisdn jaman tunahitaji kodi ya pumzi ili akili zichaji kichwanNilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
😂😂😂😂[emoji120][emoji120]View attachment 1908082
Gaidi mmoja ana nguvu sawa na polisi mia wa Tanzania, so Usishangae kwa huyu mmoja kuwatoa jasho hao vijana wa Sirro [emoji38]Wale wataalam wa kukamata magaidi wanashindwa na mtu mmoja?
Hizo movies zinawadanganya sana, ni mara ngapi polisi wa Marekani wameua raia kwa risasi tena wakati mwimgine kwa majibizano tu ya mdomoni.Umewaza mbali, kudos sana,kumbe kungekuwa na utaratibu wa kumpiga na risasi ya usingizi,mda ana zinduka angetoa siri nyingi kama mfano Alshabab wamemtuma au vinginevyo.
Huwa nafuatilia sana zile police chase kwenye majiji ya Marekani,jinsi police wao wanavyofukuzia majambazi na kuwakamata wakiwa hai,gari zisizopungua tano zinafukuza gari moja ya jambazi,hewani kunakuwa na helcopter mbili moja inaenda kwa chini kidogo ikisaidia kufukuza nyingine inakuwa juu sana ikiwa inawawezesha polisi waliopanda kuona sehemu kubwa ya barabara za jiji husika,wakikaribia gari la mhalifu Wanajaribu kushoot matairi,lakini hatimaye huwa wanahakikisha wemkamata akiwa hai ilo atoe Siri za operation zake.
Watu washafanya yaoHii vp nimeikuta humu jfView attachment 1908143
Duuuh, halafu jamaa alivaa hivi hivi 😟😟