Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania. Wasomali ruhusa kuzaa na dada zetu. Milioni 60 wote tuko madada tu hapa.
Nafikiri ni wale waliovamiwa kwenye kibanda cha traffic hivyo sidhani kama ni uzembe huo mkuu.Hili gaidi kuua askari wawili ni uzembe wa askari... limezunguka muda mrefu, askari walikuwa wapi?
Si ujitokeze na wewe wakupe ya kichwa!Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania. Wasomali ruhusa kuzaa na dada zetu. Milioni 60 wote tuko madada tu hapa.
Na yeye wamemuua?Askali Ni watatu[emoji116]View attachment 1907976
Mbona imeshajulikana mapema mkuu ni Msomali mtanzania anaishi Fire mkuu!!?Ushauri kwa Intelejensia ya Polisi:
1.Mnakumbuka mtandao wa watu wanaovusha "raia kutoka pembe ya afrika"(Halafu tunadaganywa kuwa ni waethiopia"wamekamatwa wakielekea Msumbiji au Afrika Kusini.
2.Wizara ya mambo ya ndani imeshawahi kuomba fedha ya kufunga mashine za "scan" ili raia wa kigeni wanaoingia nchini picha zao zichukuliwe na kuwa kwenye kumbukumbu za Idara ya Uhamiaji??(Leo kazi ingekuwa ndogo, maana tungesoma mfumo wa "data" za wageni walioingia, waliopo na wanatokea wapi na nani ni mwenyeji wao, watakaa nchini kwa muda gani na kwa shughuli ipi?!!).
3.Je?!zile camera za mitaani zilifungwa,zinafuatiliwa zifungwe maeneo muhimu.Maana naiona fedhaa nyingine ,kama ubalozi wa ufaransa na taifa lolote la nje likitoa taarifa ya mtu aliyefanya tukio hili halafu sisi tuishie kusema "uchunguzi" unaendelea.
Nawashauri vyombo vya dola:
1.Chukua picha, twende nchi jirani kwa ajili ya "scan" tujue ametokea wapi, tujipange kushughulika na mtandao wa mhalifu huyu.
2.Mjikumbushe/muwakumbushe wanasiasa/watawala umuhimu wa vyombo vyetu vya dola kuishi kitaaluma zaidi badala ya kuishi kisiasa,matokeo yake kutumika kisiasa na hivyo kupoteza muda wa kulinda maslahi ya taifa, na kukimbizana na raia wanaotafuta haki zao za kikatiba kutoka kwa watawala.
waliojeruhiwa wananchi au polisi?UPDATES:
Ameuwa polisi watatu pamoja na mlinzi mmoja wa kampuni, pia amejeruhi kadhaa.
Watanzania wakiwa na akili ndogo kama yako watadedi kama nyumbuKwanini walizuia raia wasiende wakati kila mtu anajua alikuwa peke yake, tena anatembea kibabe akijipiga kifua. Kuna watu washamjua hadi point anayosimamaga. Walivyo wajanja watamhamisha hadi mkoa au kumpangia majukumu mengine.
kwa kufanywa live vile kuzagaa mitandaoni wengi wataamini maan hawajawahi kusikia milio ya risasi karibu kiasi kile
Mtoto wa juzi kabisa amemezeshwa imani potofu matokeo yake ndio haya sasa amekufa bado mdogo kabisaDate of birth:1991
Usirudie kosa pamoja na timestamp ya mawasiliano (database kampuni ya simu)itaonyesha muda ni baada ya marehemu kuuwawa.Sijatuma, nilitest kuchek usajili Kisha nikaquit
CHADEMA wameanza kutumia kadi za kielectronic mwaka huu wa 2021 na wala sio mwaka 2009.Waambie MATAGA warekebishe kidogo huu ujinga.MATAGA hawajawahi kuwa na akili🤣🤣🤣Hii vp nimeikuta humu jfView attachment 1908143
Taratibu za kijeshi ni kwamba huwezi kupeleka kikosi bila kujua uzito au wepesi wa adui.Unawalaumu bure tu!
Wewe ulitaka polisi wangapi ndiyo wapambane naye?
Hao polisi unaowalaumu walikuwa wanajua kila kitu kuhusu hatari iliyokuwepo? Walikuwa wanajua kuna mtu mmoja tu anayehatarisha usalama na hakuna wengine waliojificha sehemu?
This is so ridiculous.
Umemsahau gwaj boy leo hakukaa kweny kiti Bali alisimama tuMashindano ya trending.
Kuna hii ya msomali wa upanga, manara, mbowe, sabaya, tozo..........
Ila macho yanaongea mengi aisee..
Ila bado naishiWatanzania wakiwa na akili ndogo kama yako watadedi kama nyumbu