Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Yani hakuiona tu angeiona ndio bus nzima wangekufa
 
Naamini kabisa sio tukio la kigaidi, bali ni mtu amevutugwa tu akili okamtoka kidogo ndio hayo yote yakatokea, bahati mbaya sana kwetu kila tukio linalotokea tunalinalinasinibisha na siasa! Na kuja na matokeo ya jumla kwa kitu ambacho mtu anakitasfiri kwa mapenzi na ufuasi wa chama cha siasa!

Bahati mbaya nyingine ni police wetu kupoteza ushahidi muhimu, kwa jeshi lenye weledi, vifaa na ushirikiano hili tukio ni dogo sana kiasi ambacho wangeweza kumkamata kabla hajaleta madhara.
 
Hv huyo jamaa aliyezungushiwa duara alikuwa akiomba kwa bidii!!
 
wakuu ndio mjue bongo hakuna kitu, unamkosaje mtu kwenye open space vile ? askari wanajua kupiga chadema tu...wangeambiwa chadema wanaenda pale wangeenda na gari nane hahaha nimecheka leo, hawa askari....

Yaani mkuu inashangaza kabisa..risask mvua zote holaaa.

"Twatwa..twatwa..twatwatwatwatwatwaaaaaa..twa..twatwatwaaa...twatwatwatwaaaaa..."

lijamaa ndo kwaaanza linajipiga piga kifuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu kusalenda kwake ni alikuwa akinyoosha mkono mmoja huku mkono wa pili akiendelea kuishikilia bunduki sasa ni kusalenda gani huko mkuu..? Hadi alipoanguka chini kwa risasi polisi walimfuata na kuichukua bunduki wakati bado anaishikilia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…