Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,993
- 3,747
Na bastola ya risasi tatuSiyo huu ugaidi wa laki 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bastola ya risasi tatuSiyo huu ugaidi wa laki 6
Kwanini usijifikirishe na wewe kuwa hata askari nao ni binadamu na wanaweza kufa. Na huyo muuaji hadi kuwalenga polisi tu alikuwa anatoa ujumbe flani?Naona bajaji imeachwa yatima hapo chap ndo mjitafakari nyie mnaojidai mnasikiliza wanasiasa kuingia front line yani amani ni muhm kulko mnavodhania
kamuangalie kama bado anapumua unacheza na jeshi la polisi wewe polisi wetu siyo kama wale wahuni wa mbowe waliompiga lissu asingebaki salamaMagaidi wa kweli wanawakimbia
You are not serious! Kunamtu huko kasema hofu na mkojo havikai sehemu moja..🤣Mi ningekuwa ni polisi ningempiga za miguuni ni mkamate nimuulize katumwa na nani.
Inawezekana kumuua kwake na mtandao wake bado haujajulikana ukaja kusumbua vilevile
Ukiwa kama TAGA HUU UGAIDI UTAKUWA WA TSH NGAPI MKUU?wala sijakuelewa unamaanisha nini unaharaka sana na kupost au?
Mimi ni raia wa kawaida, nimetazama hizo video, gaidi huyo hana shabaha? Nakumbuka WestGate Kenya walikuwa na shabaha, lkn huyo ni km mtu karukwa na akili au ni propaganda.Mlitaka ugaidi umeanza sasa
katika kosa kubwa kuliko lililotokea leo ni kutoamua kufanya uchunguzi wa kina na kuishia kusema ni mgonjwa wa akili.Kwa haraka haraka huyo mtu ana matatizo ya akili. Pia Mungu mkubwa angeamua kuwafyrulia abiria wa kwenye coaster sijui ingekuwaje
Comment ya mwanacdm hii
Kwa kusema ni mbongo hapana huyu ni Msomali kabisa kimuonekano.Nakuelewa kama ni sinema, ila Kwamba huyu ni askari inatia mashaka, jamaa hana viashiria vya uaskari hata kidogo;
kama Mbo..we.....What if kwa trend jinsi ilivyo, akamtaja mwanasiasa yeyote maarufu!
Mbowe alitoka na Bunduki hivi kweupe? Tendo hili linaleta "Terror "Kwa wapita njia Ndani na Nje ya magari.Huyu sio jambazi. Hakuna jambazi anakuja mchana na kavaa hivi.
Huyu anafanya kile kinachodaiwa kufanywa na Mbowe
Wangemkamata aisee kivyovyote hata kama kwa kumvunja miguu na mikono wangepata infos nyingi sana. Ila ndio hivyo, jnaonekana kabisa alijua atakufa keshajitoa mhanga hata kama ni ujumbe kuutuma keshautuma. Vyombo vya ulinzi na usalama viingie zaidi kazini.yes, unaweza kuta nyuma ya pazia kuna tukio linapangwa, yani mtu kama huyo na silaha hadi amefika hapo ukute hata kuna gari imemshusha wakamwambia tangulia sisi tutakuja kumaliza kazi siku nyimgine.
keshaondoka na askari wetu wawili na mmoja kamvunja mguu. inauma sana. polisi waache kutumika na ccm kuonea wapinzani badala yake wajikite kwenye ulinzi wa raia na mali zao.Hao ndio magaidi sasa mliokuwa mkiwalilia
Ata huyo sio gaidi anaonekana ni mtu tu na stress zake.gaidi gani anaongea hivyo nakutembea hivyo barabarani.Ila kwavile tunawashwa siku ugaidi serious ukifika sijui itakuaje.ngoja tuone maana tunawashwa kweli.Haya mmewaita Magaidi wamekuja sasa,Sio yule mwenye bastola moja mnaemshikilia
Ziko pembeni ya kanisa la st peters..ohhh, asante, zamani nilijua zipo kule makumbusho upande wa pili wa stendi
Tayari ashakuwa marehemuKumuua ni kupoteza ushahidi wote kabisa
Mkuu huoni wangezidi kungojea jamaa angweza kuamua kuua zaidi japo imenigusa. Naamini jamaa ana matatizo ya akili. Tusubiri taarifa zaidi. Iyo ak 47 alipata wapi?wamekosea sana kumuuwa!. Wenzetu watu kama hawa awauwai Kwani anaweza kuwa amebeba ujumbe mzito kwa usalama wa nchi husika siku zijazo.Sasa tumebaki kizani😥Kama vile yule aliemua Osward aliemuuwa JF Kenedy.
India ilipotokea shambulio la Ugaidi Mumbai walipambana nao na kuuwa magaidi karibia wote wakambakisha mmoja.Alipobanwa alitoa mpango mzima na nani aliewatuma,Serikali ya India walipojirizisha kuwa Dogo ametoa yote yaliomo akilini mwake wakampiga Kitanzi
ugaidi hata ukiwa hunahela unaweza fanya ugaidi ni suala la kutoka moyoni tuUkiwa TAGA HUU UGAIDI UTAKUWA WA TSH NGAPI MKUU?