Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Mkuu usijaribu tena yani hata ukijaribu from this time watakusomaMbona namba yake ukimtumia pesa tigoPESA inakuja jina la Filista?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usijaribu tena yani hata ukijaribu from this time watakusomaMbona namba yake ukimtumia pesa tigoPESA inakuja jina la Filista?
Duh! Ndiyo maana nimedai tupewe jina la pili la Retailer ADOLF!Mbona namba yake ukimtumia pesa tigoPESA inakuja jina la Filista?
Mbowe ndio Gaidi BwasheeWale Mashehe wa uamsho walioachiliwa wasije kuwa wameingia kazini
Walipokuwa Ndani Nchi ilitulia
Na yeye kawspiga shaba, rip vijana wa Sirro midomo ya mabosi wenu imewaponzaInasemekana ashapigwa shaba...
Unataka nipotezwe?Kama nani kwa mfano🤣
Nimejisikia vbaya ulivyoandika!!! Kuna hisia fulani nimepata mimi ni mkiristo ila nakuomba umsamehe bure mkuuWafukuzeni waislamu wote Tanzania iwe yenu yote.
hahaha hapana tunajadili maswala ya kitaifa tu. We ni Raia mwemaUnataka nipotezwe?
Kumbuka nafahamika
Mshana mtaalam wa Picha tupe mawili matatu hapa. Kiroho hii inaitwaje?
Duh....aliwahi kugombea nafasi yoyote hapa TZ?
Mkuu huyo askari gajajeruhuwa,hapo anakroo kutafura eneo safi kwa udunguaji.Mbna huyu anaonekana kama kajeruhiwa mpiga picha anasema.. "sijui kamuua""
Unamtumia pesa ya nini? Unaambiwa ameshakufa.Mbona namba yake ukimtumia pesa tigoPESA inakuja jina la Filista?
Askari waliouawa ni traficSasa kama jamaa mmoja anauwa ma askari wawili na mazombie al shabaab je?
Polisi wanaua hata mhalifu akiwa hana hata jiwe mkononi. Sembuse mwenye bunduki. Acha masiharaMimi nadhani imetumika akili ndogo sana kumuua. mtu alikuwa sehemu ya wazi,kama polisi wangekuwa na snipers, angepigwa risasi kwenye bega lilokuwa na bunduki ,bila shaka angedondoka chini.baadae wangemfuata akiwa hai ili atoe maelezo ambayo yangewasaidia sanaaaa polisi.
ni Tanzania tu ambapo polisi anaua mtu mwenye ushahidi hata kabla hataujapata huo ushahidi. The guy was positioned at a conspicuous place , why not use your stupid blame to catch mim, alive?
Jkt hana mafunzo makubwa yakufikia kugewa idhini kubwa kama hiyo ndio maana wanakuwa recruited na jeshi la polisi then wanapigwa msasa(refresher)jkt ni nusu raia.Hapo ungeshauri pawepo na joint patrol/peace keeping itayofanywa na jwtz pamoja na polisi wetu mahiri.Shortly kuna meseji kubwa imetumwa. Nafikiri vyombo vya ulinzi viimarishe doria za ushirikiano. Ikibidi JKT wasaidie polisi kufanya doria.