fathergetho
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,556
- 914
hapo ni mtu mmoja tu kakalisha mtaa mzima ,je wakiwa 100 si ndio mkoa mzima unakuwa underarrestHao ndio magaidi sasa mliokuwa mkiwalilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo ni mtu mmoja tu kakalisha mtaa mzima ,je wakiwa 100 si ndio mkoa mzima unakuwa underarrestHao ndio magaidi sasa mliokuwa mkiwalilia
Akili za kisukumaUlimi unaumba
Waliopewa nchi ni wapiga deal
There is more to come
Kuna mtu anapewa safari kila siku nyuma kuna watu wanafanya yao
Wanapanga mipango
Jeshi la Wananchi huu ni mfupa wa samaki fanyeni yenu tuanze upya.
Nyumba teule kuko na majambawazi
Utakamatwa kipimbi kabisa braza,kisa umbea! Mpaka wajue hujahusika tayari mkeo keshaolewa tenaMbona namba yake ukimtumia pesa tigoPESA inakuja jina la Filista?
We elewa hivi.Haukuwa msafara wa polisi bali ni msafara wa mkuu wa uhamiaji(CGI).
Familia iwekwe kizuizini inasemekana anaishi fire upangaTunajua hili lazima ni suala la uanaharakati wa kidini kwa huyu kijana msomali kuua asjari wawili wa polisi.
Nimesikitikia utayari wa polisi wetu waliokuwa lindo, kuvamiwa na silaha kuchuliwa na wao kuuwawa.
Halileti picha nzuri kwa utayari wa askari wetu.
Hata hivyo RIP vijana wetu.
Thats the easy part.Familia iwekwe kizuizini inasemekana anaishi fire upanga
Sidhani mkuu maana ni msomali aliyekuwa anaisha mitaa ya fire posta huko, na alienda huko Egypt kwenye mafunzoDuh....aliwahi kugombea nafasi yoyote hapa TZ?
Halafu alikuwa handsome kweli
Kumbe ile silaha walinyang'anywa polisi?Tunajua hili lazima ni suala la uanaharakati wa kidini kwa huyu kijana msomali kuua asjari wawili wa polisi.
Nimesikitikia utayari wa polisi wetu waliokuwa lindo, kuvamiwa na silaha kuchuliwa na wao kuuwawa.
Halileti picha nzuri kwa utayari wa askari wetu.
Hata hivyo RIP vijana wetu.
Mkuu upo kisiasa zaidi endeleza mjadala ila wazee wa medani wanajua kilichomfikisha huyo jamaa hapo ubalozini ijapokuwa kuna ulinzi mkubwa.We elewa hivi.
Kama mwenyeji wa Dar na njia hio unaijua vema.
Kutoka Sarenda kina mataa hapo ilipo stanbic bank
Wengine wanakuwa na hamu ya kupiga mkuuMi nimeshangaa wamempiga kaanguka bado wakaendelea kumpiga,hapo hawatajua chochote kuhusu mtandao kama upo
Kwahiyo john unamaana watu wa hapo ni magaidi,hata hivyo unaonyesha unawapenda Sana huishi kuwataja tajataja.Wakazi wa Upanga tupeni taarifa zaidi kuhusu huyo gaidi
Tunajua mnajuana hapo!
Kumbe kwenye bajaji hakuna mtu...[emoji1][emoji1]
Walijaribu kuepusha collateral damageMkuu huyo askari gajajeruhuwa,hapo anakroo kutafura eneo safi kwa udunguaji.
Huo ni mwendo ambao soja yeyote ndio anatakiwa atembee akiwa maeneo hatarishi,hapo akisimama anakutwa yeye ndio tageti...
kashapigwa shaba ya kichwa moja tu na sniper, ndiyo maana nitabisha mpaka mwisho kuwa tundu lissu alivamiwa na serikali, haiwezekani kabisa kupoteza shaba sijui 36 nonsenseInasemekana ashapigwa shaba...