Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Waliouawa hawakuwa traffics,ni askari wenye silaha na tena walinyang'anywa silaha.Traffic hawakai na silaha barabaran
Waendelee kupambana na wapinzani na Magaidi feki,ila magaidi halisi wakipiga simu pokeeni msikimbie maana wameanza kwa kubeep kwanza.