Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Hoja zitajengwa kwa ajili ya kesi ilee. Huyu Bwana ni msomali nadhani. Nilifikiri Police wangejaribu kumweka chini ya ulinzi badala ya kumuua ili wapate huyu bwana alikuwa na agenda gani badala ya kumuua.
Hivi unafikiri katika situation kama ile kucahgua wapi pa kupiga ni kazi rahisi,especialyy kama wote mko kwenye same level,hiyo inakuwa rahisi tu kama unapiga kutokea juu,let say gorofani n.k...
 
Nilikuwa around nikitokea posta nilidhani ni wezi wamevamia hapo stanbic sikutaka ushahidi nikachochora hadi fire nikaunga na hamsini zangu
Nakupongeza mkuu kwa kuondoka eneo la tukio wabongo wengi wamekua ni watu wa kupenda kushuhudia vtu vya hatari bila kufikiria ni hatari kuna wale waliokua wanachukua video kwa madirishan ile ni hatari sana risas haina macho inaweza kupita na uhai wako
 
kashapigwa shaba ya kichwa moja tu na sniper, ndiyo maana nitabisha mpaka mwisho kuwa tundu lissu alivamiwa na serikali, haiwezekani kabisa kupoteza shaba sijui 36 nonsense
Hata kama sijawahi kulenga shabaha,huyu jamaa alikuwa wazi kabisa kajiexpose!Mtu aliyemshoot hakuwa umbali mrefu!
Hilo la Lissu,ni nani aliondoa ulinzi wa getini kuingia makazi ya viongozi?Ikumbukwe makazi hayo yalilindwa na SUMA JKT!
Sasa sema,nani anaweza kutoa order walinzi waondoke wakati wa shambulio?
 
Mimi nadhani imetumika akili ndogo sana kumuua. mtu alikuwa sehemu ya wazi,kama polisi wangekuwa na snipers, angepigwa risasi kwenye bega lilokuwa na bunduki ,bila shaka angedondoka chini.baadae wangemfuata akiwa hai ili atoe maelezo ambayo yangewasaidia sanaaaa polisi.
ni Tanzania tu ambapo polisi anaua mtu mwenye ushahidi hata kabla hajaupata huo ushahidi. The guy was positioned at a conspicuous place , why not use your stupid blame to catch mim, alive?
Askari wa kwenye keyboard uko vizuri.

Acheni ujuaji wabongo, unamjua mtu aliyepanic alaf ana risasi ziko chamber?

Unakijua chuma wewe? Mtu anazo njugu sio chini 30 alaf amepanic, ushawahi kukutana na hiyo hali???

Hata mafunzo ya mgambo uliwahi pitia ukashika chuma au mtu akashika chuma hata mko mazoezi ya kulenga shabaha tuu??
Acheni ujuaji wazee
 
Nakupongeza mkuu kwa kuondoka eneo la tukio wabongo wengi wamekua ni watu wa kupenda kushuhudia vtu vya hatari bila kufikiria ni hatari kuna wale waliokua wanachukua video kwa madirishan ile ni hatari sana risas haina macho inaweza kupita na uhai wako
Ni kweli risasi zingine zinaruka juu zinakata kona zinakufumua kifuani
 
Kuna mengi ya kujadili hapa[emoji116]
IMG-20210825-WA0022.jpg
IMG-20210825-WA0023.jpg
 
Dah. Poleni sana wa Tz, polisi na familia za wahanga.

Lakini pia polisi wafundishwe ku deal na streetfighting kuchukua cover etc.
Ni kweli adui akiwa na silaha ni hatari lkn muonekano, muda aliotumia kutamba alitosha kuwa neutralized pasipo kuleta madhara .

Mwili wake na miguu yake haina propotionality ya suluba ana obesity kwa mbali.

Nadhani askari hawana comminication gadgets , alitakiwa apigwe kwa mbali tu
 
Very stupidity.
Mtu mwema akiipigania haki ya wananchi wanamwita gaidi.
Haya sasa huyo gaidi rasmi katuma salamu.
Hatujui wako wangapi?
Silaha kapata wapi?
Katumwa na nani?
Kuna haja viongozi wa Kiafrika wapimwe akili.
Askari wetu wamekufa wao wanasiasa wanaendelea kupitishiwa menu kila asubuhi
WANASIASA WOTE HAWAAMINIKI ANGALIA HATA HAWA WA UPANDE WA PILI

1629899587555.png
 

Attachments

  • 2878995_images_9.jpeg
    2878995_images_9.jpeg
    35 KB · Views: 1
Askari wa kwenye keyboard uko vizuri.

Acheni ujuaji wabongo, unamjua mtu aliyepanic alaf ana risasi ziko chamber?

Unakijua chuma wewe? Mtu anazo njugu sio chini 30 alaf amepanic, ushawahi kukutana na hiyo hali???

Hata mafunzo ya mgambo uliwahi pitia ukashika chuma au mtu akashika chuma hata mko mazoezi ya kulenga shabaha tuu??
Acheni ujuaji wazee
sasa unaongea nini hapa?
 
We're not serious [emoji23][emoji23][emoji23]wabongo kwa exaggerations ndio maana ni rahisi kutolewa katika mambo ya msingi kwasababu tunaishi kwa matukio mno...kwa ugaidi gani aliofanya hakuna mlipuko, hakuna uvamizi, au mauaji ya halaiki zaidi ya kufyatua tu risasi hewani na kujeruhi, ni kawehuka tu akili zake labda ana makwazo na mapolisi wetu hawa maana nao sometimes hawako fair kabisa tunawajua askari wetu, hivyo reaction yake ndio kaona afanye atakacho uenda alishindwa kuzuia hasira zake tu[emoji846]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwani gaidi nini maana yake? Tuelimishe mkuu
 
Back
Top Bottom