TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ukikua utaacha!Hill muvi tamu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikua utaacha!Hill muvi tamu sana.
Yaani mkuu inashangaza kabisa..risask mvua zote holaaa.
"Twatwa..twatwa..twatwatwatwatwatwaaaaaa..twa..twatwatwaaa...twatwatwatwaaaaa..."
lijamaa ndo kwaaanza linajipiga piga kifua😂😂😂😂😂😂😂
Una maana Cabo Delgado kwenye mafuta?
Ila inawezekana kabisa kuna connection na France maana hawa kwa fursa za kibabe hawajambo
Hata [emoji1026] mpaka kesho watakuwa wanachukua mafuta kibabe kwa kuwakandamiza
Na Rais wao ndio alisaini nao na anaetaka kuingilia anapigwa
Hili tukio linafikirisha sana, sema sisi wabongo kesho kikiibuka kisa kingine tunasahau hili.Habari wadau..!
Najaribu kujenga dot za huyu jamaa na swala la ugaidi.
1.Kwa uzoefu wangu kutoka kwenye movies magaidi lazima anaposhambulia aseme neno "Mungu mkubwa" yaani "Allah Akbar" kama huyu jamaa alitumia maneno hayo bila shaka ni gaidi wala sio jambazi.Shuhuda wa kike mama aliyehojiwa anasema jamaa alikuwa anasema Allah Akbar pindi anapomimina risasi hata wakati anakufa alisema Allah Akbar hao ndio magaidi walivyo ,ndio maana wazungu wakipanda ndege au gari wakisikia tu maneno hayo kwa mmoja wa abiria waliopanda nao gari au ndege moja lazima mzungu achumpe akimbie.
2.Kwa nini alienda ubalozi wa Ufaransa??Hapa turejee kisa cha yale yanayotokea Msumbiji juzi na ile kampuni ya uchimbaji ya Kifaransa yaani Total.
3.Kwa nn serikali ilimoiga risasi mpaka kufa wakati walikuwa na uwezo wa kumzibiti??Gaidi haitaji kudhibitiwa maana ni mtu skilled na kashajitolea kifo .
4.Magaidi wana mtandao kila nchi na wanafanya recruitment hivyo usishangae anaweza akawa mkazi wa Kinindoni lakini akawa amejiunga kwenye kundi la ugaidi miaka mingi tu ila alikuwa anangoja mission labda mission ilikuwa kufikisha ujumbe fulani.
5.Tukio linaonyesha limekuwa planned yaani "Dar ipo Salaama mara pah pah pah".
USHAURI
Tusitafute mchawi nani tujipange.
Eeeeeeh!HUNIAMBII KITU KUHUSU YESU
Alikuwa yupo kwenye panic! Nakama umeshaona Kuna video moja alikuwa anashambuliwa na polisi mmoja hivi alikuwa pembeni ila alikuwa katika 50/50! Namaanisha hakuwa na hakika ya kwamba akinyoosha mikono je,wataacha kushoot..?? Panic ilimfanya ashindwe kuamua kwa asilimia Mia afanye kipi haswa ila alikuwa kafika tamati tafuta hiyo video akiwa anatoka kwenye kile kibanda usome body language yake utaelewa.Mkuu kusalenda kwake ni alikuwa akinyoosha mkono mmoja huku mkono wa pili akiendelea kuishikilia bunduki sasa ni kusalenda gani huko mkuu..? Hadi alipoanguka chini kwa risasi polisi walimfuata na kuichukua bunduki wakati bado anaishikilia...
movie haijafanikiwa, Sterling kafa katikati ya movieMovie inatengenezwa kwa mtu kufa?!!!
Ushawachoma wenzio tayar,View attachment 1908147
Ila Mwamba Alikua ameshiba aisee, yaani hapo watu wazima kama kasimama na katuni
hao jamaa wana visasi balaa.tuombe Mungu wasije lipiza kwa ndgu yao damu kumwagikaKama lile zoezi la iapoti vile. Wasomali huwa hawana damu?!
Police.waliojeruhiwa wananchi au polisi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ama.wamemfanishaaa
Kuna shida hapa...nadhan una ajenda bossAliyekwambia yule ni gaidi nani boya wewe yaani mnatengeneza sinema feki then muwaaminishe watu kuwa kuna ishu, hakuna ishu pale ni mwendelezo wa sanaa za Siro na kampani yake lijamaa liko kwenye magari ya polisi kila siku kwenye doria leo linajiita gaidi? aibu wangetumia hata mtu mwingine ambaye hafahamiki Dar, Hopeless and shameless police, imevuja hii wala hamdanganyi mtu tena , kuna jambo Mungu anataka awaonyeshe polisi
Tena kada mkubwa ndio maana alijiamini sana
Sirro kathibitisha kaua polisi na kupora hizo silahaAcha wehu wewe. Hivi unajua tumezungukwa na nchi ambazo zina machafuko sana?
Hizo bunduki nyingi hutokea huko kwenye nchi zenye machafuko. Ili upore bunduki ya askari lazima umuue na jeshi likibaini litaifuatilia hadi ipatikane.
Tumia basi akili yako vyema usiiweke wazi kama nyeti za mbwa.
Zile kofia za kiislam hasa, mbadala wa barakashiaJamaa kwenye video anaonekana kavaa kikofia flani hivi chechefu.
Ungetuma kabisa sms kua kama kafanikiwaNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Watanzania hawana akili hizi, uyo ni msomali tuSio msomali ni Mtanzania