Kinondoni Makaburini: Mazishi ya Mwana JF, Mzalendo Sanctus Mtsimbe

Kinondoni Makaburini: Mazishi ya Mwana JF, Mzalendo Sanctus Mtsimbe

Toka msiba imetokea sikuwahi kuuliza cause of death, ila nilipoelezwa, nimemnyanyulia Mtsimbe mikono juu, huyu ni bonge la shujaa wa uhai hadi kifoni, kumbe alikuwa anakabiliwa na changamoto qya kiafya ya ugonjwa ambao ni terminal, hivyo alikuwa unaupigania uhai wake kimya kimya, na hakuwahi kuutaja na wala hakuwahi kuonekana with sick face, aulibeba ugonjwa wake moyoni mwake kimya kimya hadi amekufa kishujaa.

Kwa vile akiwa hai, mwenyewe hakuwahi kusema ana changamoto hiyo ambayo ni terminal illness, kwa heshima ya marehemu, naomba tuheshimu his right to privacy, hivyo naomba msiulize marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani, ila moja ya magojwa terminal, ila sio ugonjwa wa kuambukiza, na sio ngoma!.

Katika mabandiko yangu yaliyopita kumhusu Sanctus Mtsimbe, nilisema tuna fanana mambo mengi,
- Tribute to Sanctus Mtsimbe: Sio tu ni smart kwa mavazi na muonekano, pia ni smart kwa mawazo, maneno, na matendo, na very smart upstairs!

- Pumzika Sanctus Mtsimbe, Kazi Umekamilisha, Mwendo Umeumaliza. Asante Kutuachia Hazina Kubwa ya Maarifa Humu JF Tutakuishi Milele!. Pumzika

Leo msibani tumezidi kufanana, kumbe first wife yuko Marekani, na mini first wife yuko Marekani. Mtoto mkubwa alikuwa Marekani, na mimi watoto wakubwa wako Marekani.

Bongo akavuta kitu, dogo dogo, kitu white, chombo kweli kweli, mimi pia Bongo nimevuta kitu, white...
Ila kwa sisi ambao umri umesonga songa ukivuta dogo dogo sana, huwa wanasumbua!, mfano hali kama hii, Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!

RIP Rafiki yangu Mzalendo Comred
P
 
Toka msiba imetokea sikuwahi kuuliza cause of death, ila nilipoelezwa, nimemnyanyulia Mtsimbe mikono juu, huyu ni bonge la shujaa wa uhai hadi kifoni, kumbe alikuwa anakabiliwa na changamoto qya kiafya ya ugonjwa ambao ni terminal, hivyo alikuwa unaupigania uhai wake kimya kimya, na hakuwahi kuutaja na wala hakuwahi kuonekana with sick face, aulibeba ugonjwa wake moyoni mwake kimya kimya hadi amekufa kishujaa.

Katika mabandiko yangu yaliyopita kumhusu Sanctus Mtsimbe, nilisema tuna fanana mambo mengi,
- Tribute to Sanctus Mtsimbe: Sio tu ni smart kwa mavazi na muonekano, pia ni smart kwa mawazo, maneno, na matendo, na very smart upstairs!

- Pumzika Sanctus Mtsimbe, Kazi Umekamilisha, Mwendo Umeumaliza. Asante Kutuachia Hazina Kubwa ya Maarifa Humu JF Tutakuishi Milele!. Pumzika

Leo msibani tumezidi kufanana, kumbe first wife yuko Marekani, na mini first wife yuko Marekani. Mtoto mkubwa alikuwa Marekani, na mimi watoto wakubwa wako Marekani.

Bongo akavuta kitu, dogo dogo, kitu white, chombo kweli kweli, mimi pia Bongo nimevuta kitu, white...
RIP Rafiki yangu Mzalendo Comred
P
Sasa ndo nini? Tuambie amekufa kwa ugonjwa gani umeleta comment yenye tashwishwi...
 
Toka msiba imetokea sikuwahi kuuliza cause of death, ila nilipoelezwa, nimemnyanyulia Mtsimbe mikono juu, huyu ni bonge la shujaa wa uhai hadi kifoni, kumbe alikuwa anakabiliwa na changamoto qya kiafya ya ugonjwa ambao ni terminal, hivyo alikuwa unaupigania uhai wake kimya kimya, na hakuwahi kuutaja na wala hakuwahi kuonekana with sick face, aulibeba ugonjwa wake moyoni mwake kimya kimya hadi amekufa kishujaa.

Kwa vile akiwa hai, mwenyewe hakuwahi kusema ana changamoto hiyo ambayo ni terminal illness, kwa heshima ya marehemu, naomba tuheshimu his right to privacy, hivyo naomba msiulize marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani, ila moja ya magojwa terminal, ila sio ugonjwa wa kuambukiza, na sio ngoma!.

Katika mabandiko yangu yaliyopita kumhusu Sanctus Mtsimbe, nilisema tuna fanana mambo mengi,
- Tribute to Sanctus Mtsimbe: Sio tu ni smart kwa mavazi na muonekano, pia ni smart kwa mawazo, maneno, na matendo, na very smart upstairs!

- Pumzika Sanctus Mtsimbe, Kazi Umekamilisha, Mwendo Umeumaliza. Asante Kutuachia Hazina Kubwa ya Maarifa Humu JF Tutakuishi Milele!. Pumzika

Leo msibani tumezidi kufanana, kumbe first wife yuko Marekani, na mini first wife yuko Marekani. Mtoto mkubwa alikuwa Marekani, na mimi watoto wakubwa wako Marekani.

Bongo akavuta kitu, dogo dogo, kitu white, chombo kweli kweli, mimi pia Bongo nimevuta kitu, white...
RIP Rafiki yangu Mzalendo Comred
P
Terminal illness: An irreversible condition that in the near future will result in death or a state of permanent unconsciousness from which you are unlikely to recover. In most states, a terminal illness is defined as one in which the patient will die “shortly” whether medical treatment is given.


M.A.P Sanctus
 
Back
Top Bottom