Duu hii boldness imebeba maumivu makubwa ibaki tuu kwny maandishi sio aambiwe mgonjwa...Terminal illness: An irreversible condition that in the near future will result in death or a state of permanent unconsciousness from which you are unlikely to recover. In most states, a terminal illness is defined as one in which the patient will die βshortlyβ whether medical treatment is given.
M.A.P Sanctus
Duu hii boldness imebeba maumivu makubwa ibaki tuu kwny maandishi sio aambiwe mgonjwa...
Hili babu na mimi nimelishangaa kwakweli aiseee!! Halafu chap chap anasema marehemu marehemu alificha ugonjwa huku alikuwa anamiliki mchepuko white dogodogo dah!! πππUzi wa msiba imebidi nicheke tu mayala kapata sehemu ya kujifananisha na marehemu kwa usaliti ndoani daah
Huyu pasco mtata sanaKwahiyo mnapongezana kumiliki masuria?? Na kwann uanze kutupanga aina ya ugonjwa kwamba sio wa kuambukiza??
Anyway RIP mwana JF mwenzetu, upumzike unapostahili
Kweli babu anazeeka vibaya π€£π€£π€£Huyu pasco mtata sana
Tokea mwanzo nilijua tuu pasco ana kitu anataka kukisemaKweli babu anazeeka vibaya π€£π€£π€£
Anasifia kina bibi live kwenye uzi wa msiba
Anakwambia wanafanana tabia na marehemu π€£π€£π€£π€£Tokea mwanzo nilijua tuu pasco ana kitu anataka kukisema
Ooooooh jf ya zamani iikuwa π₯π₯π₯ Lamomy songa mbeleAnakwambia wanafanana tabia na marehemu π€£π€£π€£π€£
Ila JF imechoka yani watu tunaotegemea wenye busara humu wenyewe ndo vinara wa kuvunja heshima⦠kina Lamomy tukicomment hivi tunaambiwa joined 2023 hatuna adabu.
Hakuna kipya chini ya jua Lamomy πHao wazee ndo ma GT wetu wanasifia kumiliki masuria na kusaliti, wakiongea wajukuu zao hayo wanawasimanga π€£π€£π€£π€£
Hahahaaaaaaaa unategemea ushauri hahahaaaaaaaaa Lamomy πBasi waone aibu umri umeenda wanaume zetu wanategemea ushauri kutoka kwao π€£π€£π€£
Magonjwa yapo madaktarii pia wapoo πNdio watupe ushauri wakina baba chanja wasichepuke magonjwa mengi π€£π€£π€£
Wee naye kumbe Mayala mdogo tu π€£π€£π€£Magonjwa yapo madaktarii pia wapoo π
πππππππWee naye kumbe Mayala mdogo tu π€£π€£π€£