Pre GE2025 Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
When you take two and two together unaweza ukajua what’s gonna happen 😅 !
Lakini ngoja Tusubiri tuone ! 🙏🙏
 
Ngoja Tusubiri tuone 😅🙏
 
Kama kuna kitu kinanikera hi hichi cha urais wa kisultani. Hapa Tanganyika tuna wasomi wazuri tena maelfu kumpita huyo Rais Mwinyi wenu mimi nikiwa mmojawapo. Leo mnasema eti Mwinyi ndiye anayefaa kuwa Rais wa nchi hii 2025 siwaelewi kabisa. Labda aje mtu anieleze uzuri wa Mwinyi kuliko Watanganyika milioni sitini waliopo sasa
 
Udini ni Cancer inayoua Mataifa angalia kule Ivory Coast.
Waisiharsmu ndiyo wanaoleta udini mcheki mgagufuli ..mcheki nyerere ...kisha wacheki hao wengine ndiyo wanaleta hadi hijabu kwenye dhule za serikali ..wamegawa kifisadi bandari kisa nimuislamu muarabu
 
Waisiharsmu ndiyo wanaoleta udini mcheki mgagufuli ..mcheki nyerere ...kisha wacheki hao wengine ndiyo wanaleta hadi hijabu kwenye dhule za serikali ..wamegawa kifisadi bandari kisa nimuislamu muarabu
Unajua ni kwanini Nyerere aliviingilia Vita vya Biafra?

Anyway.. Udini ni Uduni wa Kifikra tusiichome hii Nchi yetu nzuri yenye Mito na Mabonde.

Kuna haja sasa nafasi ya Uraisi wa Jamhuri useme wazi kuwa ni lazima uwe Agnostic au Atheist.
 
Mama anaacha Legacy gani sasa?
 
Tumpe mlevi wa konyagi mwenye ulafi wa madaraka..mwenyekiti wa milele.

Nah!mlamba asali hana kiasi..akawii kuwa dikteta wa nchi kma alivyo wa chama.
 
Unajua ni kwanini Nyerere aliviingilia Vita vya Biafra?

Anyway.. Udini ni Uduni wa Kifikra tusiichome hii Nchi yetu nzuri yenye Mito na Mabonde.

Kuna haja sasa nafasi ya Uraisi wa Jamhuri useme wazi kuwa ni lazima uwe Agnostic au Atheist.
Najua ...unajua kwa nini muamadi alitaka watu wahukumiane kwa haki siyo kwa kutizama dini gani ? Unajua kwanini nyerere alipinga waisrael japo yeye ni mkristo ? Unajua kwanini nyerere alijiunga na wazee wa kiislamu wa dar es salaam ambao walikuwa waislamu kwenye kupigania uhuru.je unajua kwanini nyerere alikataa pesa ya gadafi ili kuwagomboa waislamu wa libya walio tekwa kwenye vita vya uganda na kuwaachia bure bila ya kupokea hata senti ...usimfananisha nyerere na hizi takataka za kisiharamu zilizo kuja kuongoza baada yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…