balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Ni kiapo,waziri mkuu hawesi pewa urais.Forojo Ganze anasemaje?Bonafsi namuona Majaliwa anaweza kuendesha nchi vema ,kwani hakurupuki na tayari amaesha pata uzoefu wa kutosha jinsi ya uongoza .
Umefika wakati sasa Uraisi wa Tanganyika apewe Mtanganyika.
Zanzibar imejifunika blanketi la Muungano ,inaexclusive right ya joto lote
Mkuu Sir luta , civic education kuhusu uraia wa JMT bado inahitajika sana!, Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili za Tanzania bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, Watanzania wote wakiwemo Wanzanzibari wana haki sawa za kiraia ndani ya JMT!, hakuna Mtanzania bara wala Mzanzibari, kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania!. Kauli ya hatutaki kuongozwa na Mzanzibari ni kauli ya kibaguzi!. Baada ya hatutaki kuongozwa na Mzanzibari ikipita itakuja hatutaki kuongozwa na Msukuma, then Mhaya, then Mchagga, ukiisha tenda dhambi ya ubaguzi, inaendelea kukutafuna...
P
Kimsingi maza hakuna cha maana anafanya zaidi ya kuruhusu wizi tu serikalini
Msichokijua ni kuwa kile kiti kina addiction sio rahisi kama mnavyodhani mama samia kampita mbali sana mwinyi kwenye uongozi kwa sasa.
Hawezi kubali hilo kila mtu anapenda kuacha legacy ya kipekee na ndio samia anachotaka kufanya kwa upande wake.
Ushauri kwa team Mwinyi kuna mambo sio ya ya kulazimisha na sio kila mtu ameandikiwa au ana haki ya kuwa rais wa jamhuri jifunzeni kwa kwa mhe. Lowasa na mkubali yapite..
Huu Uzi umeletwa na watu wa propaganda kupima upepo. Inakuwaje Mwinyi ampinge Dada yake? Mwinyi ni Rais mzuri Sana ila siungi mkono njia anayotaka kuitumia. Amalizie Kwanza Zanzibar aje na kwa Muungano Kama afya inaruhusu.
Lingine bandiko hili halimhusu Mwinyi bali Kuna mwanasiasa antaka kumfanyia Shambulizi la kushutukiza Rais Samia. Yaonekana hali sio shwari chamani na serikalini.
Sasa, lakini nini kifanyike? tudai katiba isiwe kazi ya Mbowe na LissuTatizo ni katiba. Katiba inatoa uhuru hata failures waongoze nchi
Tatizo ni katiba. Katiba inatoa uhuru hata failures waongoze nchi
LISSUMaombi yangu kila siku,siku moja hii nchi iingie katika mikono salama ya Kassim Majaliwa.
Siyo ionekane,nikwamba kwa sasa hali siyo shwari chamani kuna fukuto la nguvu linaendeleaHuu Uzi umeletwa na watu wa propaganda kupima upepo. Inakuwaje Mwinyi ampinge Dada yake? Mwinyi ni Rais mzuri Sana ila siungi mkono njia anayotaka kuitumia. Amalizie Kwanza Zanzibar aje na kwa Muungano Kama afya inaruhusu.
Lingine bandiko hili halimhusu Mwinyi bali Kuna mwanasiasa antaka kumfanyia Shambulizi la kushutukiza Rais Samia. Yaonekana hali sio shwari chamani na serikalini.
printa zipo nyingiWembe ni ule ule, mwaka 2025 katibu mkuu ataprint fomu moja tu.
ajiza za dp worldKama CCM wakimsimamisha Mwinyi I swear nitatumia gharama zangu kuzunguka nchi zima kumpinga kwa nguvu zote huyu jamaa ni mbinafsi toka tuko jeshini tunamjua pia ana ka udikteta anakokaficha. Huyu mama ni mstaarabu sana na ana utu pia kazalisha ajira nyingi sana kwa vijana.
Unajua nini kuhusu Dp word acheni majungu bandari yenu mmeshindwa kuendesha kila kijana mnayempa anawaibia kupitia Kodi zenu wenyewe mlizomsomesha, Shida ni kwamba kapewa mwarabu,angepewa muisrael usinge sikia kelele za TEC kuweni wakweli.ajiza za dp world
Unajua nini kuhusu Dp word acheni majungu bandari yenu mmeshindwa kuendesha kila kijana mnayempa anawaibia kupitia Kodi zenu wenyewe mlizomsomesha, Shida ni kwamba kapewa mwarabu,angepewa muisrael usinge sikia kelele za TEC kuweni wakweli.
Maombi yangu kila siku,siku moja hii nchi iingie katika mikono salama ya Kassim Majaliwa.
Dkt Mwinyi ni kiongozi mzuri.