Pre GE2025 Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?

Pre GE2025 Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi hii si ndio ilifanya mwandishi wa hili gazeti la Lumumba akatimuliwa lakini Mama Abdully alishasema atapumzika?
photo_2021-08-11_09-06-26.jpg
 
Jamaa kwa mjadala unaoendelea Leo kuhusu mambo ya Muungano na hoja zinazotolewa Ikiwemo mifano mbalimbali ya watanganyika kupata changamoto Zanzibar Ikiwemo manyanyaso na umiliki wa ardhi, pamoja na Sheria za Zanzibar kua za kujitegemea, unahisi ulitumia akili katika Hili andiko lako? Au ulikosa projection ya 'hoja'
Mkuu Sir luta , civic education kuhusu uraia wa JMT bado inahitajika sana!, Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili za Tanzania bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, Watanzania wote wakiwemo Wanzanzibari wana haki sawa za kiraia ndani ya JMT!, hakuna Mtanzania bara wala Mzanzibari, kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania!. Kauli ya hatutaki kuongozwa na Mzanzibari ni kauli ya kibaguzi!. Baada ya hatutaki kuongozwa na Mzanzibari ikipita itakuja hatutaki kuongozwa na Msukuma, then Mhaya, then Mchagga, ukiisha tenda dhambi ya ubaguzi, inaendelea kukutafuna...
P
 
Msichokijua ni kuwa kile kiti kina addiction sio rahisi kama mnavyodhani mama samia kampita mbali sana mwinyi kwenye uongozi kwa sasa.
Hawezi kubali hilo kila mtu anapenda kuacha legacy ya kipekee na ndio samia anachotaka kufanya kwa upande wake.

Ushauri kwa team Mwinyi kuna mambo sio ya ya kulazimisha na sio kila mtu ameandikiwa au ana haki ya kuwa rais wa jamhuri jifunzeni kwa kwa mhe. Lowasa na mkubali yapite..

Kampita kwa kusafiri sana na ubadhilifu wa mali ya umma

Umeongea vema
 
Huu Uzi umeletwa na watu wa propaganda kupima upepo. Inakuwaje Mwinyi ampinge Dada yake? Mwinyi ni Rais mzuri Sana ila siungi mkono njia anayotaka kuitumia. Amalizie Kwanza Zanzibar aje na kwa Muungano Kama afya inaruhusu.

Lingine bandiko hili halimhusu Mwinyi bali Kuna mwanasiasa antaka kumfanyia Shambulizi la kushutukiza Rais Samia. Yaonekana hali sio shwari chamani na serikalini.

Tanganyika iongozwe na watanganyika

Nataman sana Mpango au Kassim washike nchi 2025 ili nchi ianze kufufuka upya
 
Huu Uzi umeletwa na watu wa propaganda kupima upepo. Inakuwaje Mwinyi ampinge Dada yake? Mwinyi ni Rais mzuri Sana ila siungi mkono njia anayotaka kuitumia. Amalizie Kwanza Zanzibar aje na kwa Muungano Kama afya inaruhusu.

Lingine bandiko hili halimhusu Mwinyi bali Kuna mwanasiasa antaka kumfanyia Shambulizi la kushutukiza Rais Samia. Yaonekana hali sio shwari chamani na serikalini.
Siyo ionekane,nikwamba kwa sasa hali siyo shwari chamani kuna fukuto la nguvu linaendelea
 
Sioni lugha yoyote ambayo Samia anaweza kuwaambia Watanganyika wakamwelewa juu ya uporaji ulifanywa kwenye bandari kupitia ule mkataba wa kishenzi kabisa wa DPW, uuzwaji wa mbuga za wanyanyama na hifadhi za misitu kwa Waarabu.

Kwa wapinzani, waombee CCM ibakie na Samia kama mgombea wake.

Nina hakika, kuna baadhi ya maeneo, wakati wa kampeni, Samia kutokana na alivyozitendea rasilimali za Tanganyika, ataishia kuzomewa.
 
Kama CCM wakimsimamisha Mwinyi I swear nitatumia gharama zangu kuzunguka nchi zima kumpinga kwa nguvu zote huyu jamaa ni mbinafsi toka tuko jeshini tunamjua pia ana ka udikteta anakokaficha. Huyu mama ni mstaarabu sana na ana utu pia kazalisha ajira nyingi sana kwa vijana.
 
Kama CCM wakimsimamisha Mwinyi I swear nitatumia gharama zangu kuzunguka nchi zima kumpinga kwa nguvu zote huyu jamaa ni mbinafsi toka tuko jeshini tunamjua pia ana ka udikteta anakokaficha. Huyu mama ni mstaarabu sana na ana utu pia kazalisha ajira nyingi sana kwa vijana.
ajiza za dp world
 
Back
Top Bottom